Watu Kama Hawa dunia haiko fair nao hata siku 1 ..dunia hainaga huruma namtu yakupasa wewe mwenyewe ujionee huruma na ujikomboeMzee hana maamuzi magumu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Bora umejua wajukuu ni bahatWajukuu ni bahati sio kila mtu anabahatika kuwa na wajukuu akiwa na umri huo!
Ila muda ni masaa ukisha chelewa huwezi rudisha nyuma ukiwa na miaka 50 na kuangaika na nyumba ndoko ni kujitafutia safari ya kaburi kwa speed ya SGR
Yeah hii sio kawaida madame [emoji16][emoji16]Limbwata hilo
Eeenh humu tunakuja tu kusoma ya watu kama hivi na kushauri basiSindio hapo ... Labda waninyonge [emoji16][emoji16]
Matatizo yangu nitakomaa nayo Mimi mwenyewe till I die humu siyaleti ng'ooo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kweli ulinyooshwa aiseee26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
[emoji16][emoji16][emoji51][emoji51][emoji3][emoji23][emoji23]
Kwani shida Ni ID mpya Basi .. shida Ni maneno ya kukatisha tamaa utakayo ambiwa humu ..yanaweza sababisha ukajikuta unakwenda kufanya maamuzi mabaya zaidi na ukajikuta unajisababishia matatizo makubwa zaidi ya uliyonayo ktk huo wakatiSi ndipo ID mpya zinapozaliwaga hapo.
Saana [emoji26]Mzee anatia huruma kwakweli
Muulize I'd mpya inapunguza Ukali na pressure ya maneno makali utakayo ambiwa humu !? ... Still maumivu ya maneno makali yako pale pale maana utaambiwa maneno ambayo haukuwa hata unataka kuyasikia mwisho wa siku utakwenda kupata stroke huko bure [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wanaokuja na I'd mpya hawajiamini kama una shida yako njoo na I'd iliyozoeleka
[emoji16][emoji16][emoji16]namba yako ninayo utani hadithia whatsaap [emoji16][emoji16]Niache najua unataka kuuliza ni nini kilitokea
Mimi msomaji tu yananiuma sijui kwa kweli watu wana mioyo ya namna gani kuandika maneno ya kuumiza wengine hivyo, ila humu wachawi wamo pia.Kwani shida Ni ID mpya Basi .. shida Ni maneno ya kukatisha tamaa utakayo ambiwa humu ..yanaweza sababisha ukajikuta unakwenda kufanya maamuzi mabaya zaidi na ukajikuta unajisababishia matatizo makubwa zaidi ya uliyonayo ktk huo wakati
Kwakweli alinyooshwa sio kitoto[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kweli ulinyooshwa aiseee
Ata umri ni majaaliwa pia ila sio kwa Sababu umri ni majaliwa uache kujipangaBora umejua wajukuu ni bahat
Ndio ukweli, humu kuna wachawi, malaya, malaika na watu wengine wameumizwa na mabwana zao kama hivyo, hivyo wakiona hizi hadithi za bwana Mwitore zinawakumbusha baba zao labda au mabwana zao walivyotoroshwa na nyumba ndogo, wanaume nao wengine wako na nyumba ndogo au tunafikiria kuwa nazo hivyo kila mtu anaguswa kivyake, tuvumiliane tu, ndio maisha.Mimi msomaji tu yananiuma sijui kwa kweli watu wana mioyo ya namna gani kuandika maneno ya kuumiza wengine hivyo, ila humu wachawi wamo pia.