Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kuna kitu cha kujifunza kwa sisi wanaume.

Japokuwa wanaume wa sampuli hii wapo, Ila mtoa mada umekuwa udhaifu sana.
Labda kama limbwata lilihusika.
 
Sawa unaweza kusema kazi inamsaidia kupanga namna ya kuhudhuria kwa mchepuko

Lakini hiyo inawezekana kwa wanaotoka point A na kwenda point B tuu, yaani unatoka kwako unaenda nyumbani kwa mwanamke au guest/Lodge/Hotel sio utaratibu rafikir kwa anayetoka anakwenda kwa mwanamke anayeishi nae kama mke yaani wanatoka, wanazurura, wanafanya shopping, wanakwenda site nk kwani huko mabarabarani hakuna watu wanaomjua wakafikisha taarifa nyumba kubwa?

Ndio shida ya kuficha ficha mambo lazima uache maswali
 
Mkuu tuliza akili hapo anamuongelea mke mkubwa wapo wote nyumbani lkn watoto toka wapate kazi yeye wamempa 120000 tu ila mama yao kila siku anabadili nguo kwa pesa za watoto.
Sio kweli kuna mahali anasema watoto wake mpaka sasa wamemtumia 120000 tu lakini mkewe anasikia tu mara nguo mpya mara nini
 
Ahsante,
Tatizo nalo wapambe, maana ukishatangaza tu
Nauza wapambe hawa hapa, mala nyumba ina mgogoro mala nini, maana uuzaji wa nyumba ni mgumu, bora uuze gari
Najiuliza tu, unaweza mpangisha mtu afu ukaogopa kumpa notes ya kutoka????
 
Ukiona mtu anaeleza sana asivyo na shida ujue kuna walakini

Nguvu kubwa inatumika kupaka rangi hali ya nyumba kubwa

Mtu mwenye nafasi hii anawezaje kucharuana na malaya(samahani) hadharani mpaka watu wanatoka kuchungulia, mpaka uongozi wa mtaa unawachoka?

Ni uongo, na kama ni kweli kuna nati haijakaa sawa upstair
 
Mkuu una familia nzuri sana zaidi ya watu wanavyofikiri. Uzuri umejitoa sana kwao,Mungu akusaidie umalizana na huyo Bi mdogo salama,kitu ambacho kiko wazi utashinda hiyo vita kwani umeshikilia mpini
Unajijibu sio[emoji1][emoji1]
 
Ushauri mzuri sana
 
Mkuu tuliza akili hapo anamuongelea mke mkubwa wapo wote nyumbani lkn watoto toka wapate kazi yeye wamempa 120000 tu ila mama yao kila siku anabadili nguo kwa pesa za watoto.
Uwe unasoma story katikati ya mistari
 
Mwitore kaka you are very strong.Hao wanaokukejeli hawajui maisha,wanatakiwa wajifunzr.
Vijana wengi wanaishi kwa mijimama au nyumbani kwao,wanatarajia wakiwa na miaka 40 wawe na majumba.
Wadada wengi humu wamezalishwa wanalea watoto peke yao kwa sababu ya viburi,dharau na kejeli.They have lost focus ya maisha.Hawaoni mwanga wowote mbele kaz yao nikukukatisha tamaa.
Makundi hayo achana nayo ukiweza usiwajibu.Masna hujaja,hapa kushindana wao wanataka mshindane.Ukifuatilia wanakuita muongo,mjinga mpumbavu unapaswa kuwaacha watuelezee wao ukweli na mpaka namba ya kiwanja wanakijua kwa ujuaj wao.
 
Kama ulisha invest kule kama mimi nilivyoinvest ingukuwa wewe ungefanyaje?
Halafu kumbuka serikali ipo na sheria zipo!
Umeinvest km mke ama km mchepuko! We no boya ata aliyokufanyia ni kidogo sana subiri jamaa ake aje akuue ukose vyote
 
Upo vizuri
 
Nimekupenda bure pendo kwa kuwa hujaegemea upande mmoja, ushauri uliotoa kwa huyo mzee baba lazima auzingatie, vinginevyo itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Hakika sikio la kufa halisikii dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…