Mungu wangu,
Mengine wala si ya kucheka,
Ngoja nipaze sauti.
WANAUME TUANZE KUJIONEA HURUMA KWANZA SISI WENYEWE NA MENGINE BAADAYE, HALAFU TUWAPENDE SANA NDUGU ZETUWA KUZALIWA,HAO WATAKUFANA SISI,
KUSOMESHA WATOTO SAWA LAKINI USIJIUMIZE FANYA KWA KIASI ,
ANGALIA SANA FUTURE YAKO MWENYEWE KWANZA BAADAYE HUKO MBELE ITABIDI UJITUNZE MWENYEWE
Sio kujionea huruma thamini sana familia uliyopewa na Mungu vile viapo tunavyokusemaga wakati wa ndoa huwa vinaandikwa mpk kwa Mungu ndio maana tunapata kichapo tuki geuka kile kiapo. Wapo wanaume waliozeeka vizuri na familia zao wanatunzwa na watoto na wajukuu kwa heshima zote.
Kuna rafiki ya baba yangu yeye ana story kama yako bahati mbaya mke mkubwa alifariki but yeye alimjali sana mke na watoto wa bi mkubwa mbaya zaidi wale watoto wa bi mdogo wote ni wavuta bangi maana alizaa two boys na bi mdogo. Hawa two boys wamekuwa mwiba kwake yaani mpk last month kamwambia baba yangu ktk dhambi ambayo ninetenda hii imeniumiza maisha yangu yote.
Bahati yake watoto wa bi mkubwa wanamtunza sana. Binti yake mmoja yuko huko kwa wazungu mara nyingi huwa anamtumia ticket at least twice a year aende kukaa na wajukuu.
So usiogope watoto wako watakupenda kama uliheshimu mama zao.