Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Wakati bado kijana, nlishawahi ku twist mguu wangu, sasa wakati sina hasira najua namna ya kuutembelea na kukimbia kidzain fulani hivi,

Sasa kumbe wakati ule nakimbia nilijisahau nikautwist na kuangukavibaya, niliendelea kukaa pale chini, kwa muda huku nataka kunyanyuka nashindwa, baadaye nikajivuta na matako mpaka kwenye kiti, kusema kweli hata kwenye kiti sikuweza kukaa,

Nikaaa pale chini baada ya muda, ndio akaja yule mwanamke na watoto wakaninyanyua na kunikalisha kwenye kiti,


Watoto wakachemsha maji na kunikanda kwa chumvi, kusema kweli siku nilikuwa naenda kwa bi mkubwa, lakini sikuweza,

Lakini nilimpa taarifa kuna msiba umetokea ofisini kwetu na huyo ni mtu wangu wa karibu.

Kesho yake maumivu bado yalikuwa makubwa nikajijikokota mpaka CCBRT, picha ikaonyeshwa kitu kinaitwa sijui LIGAMENT, ndio imepata madhara madhara,

Ile pesa kusema kweli yule Mwanamke aliikatalia

NI BUASHARA GANI ANATAKA KUFANYA?

Nitaendelea
Yaani na tukio Hilo bado ukaendelea kuwa na imani nae tu !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Wanaume tunateseka kwa starehe ya dakka inakutesa maisha yako yote,kisa mtego wa kum. A

Kwasasa sikamatiki tena,nimefanya kosa Mara moja basi,kwasasa nimeforce kutumia condom mpaka nimezoea,utamu uko pale pale
Mimi Mwanamke akibeba mimba wakati hatukupanga abebe mimba halafu nikimuambia aitoe akigoma atajijua mwenyewe shauri yake

Mambo yakunifanya niishi duniani kwa tabu Kama vile nipo kuzimu sitaki kuyaona Wala kuyasikia
 
Story nzima ni ya mke mdogo, sitaki kuingiza mambo ya mke mkubwa hapa, sitamtendea haki, jana tatizo na mimi, na binafsi nampenda sana, Muda wa kuwa naye upo na hata our tunatoka,

Na yupo happy sana na mimi, kwa sababu matunzo yake anapata kama malkia, na watoto wake anaona wanapanda madaraja, wa kwanza keshaajilia na anakula 2.5 M, Binti mdogo tu, wapili naye 1,8 m, Ana shida gani na hiyo kazi yote nimefanya mimi, Ila kama nilivyosema hao wote wana miaka miwili na mitatu, lakini nimesharushiwa sh 120000 tu.

Lakini vipi mama yao huko, naona kila siku ni nguo
Mpya kabitini, kwa hiyo keshaanza kula matunda ya watoto wake,
Hiyo karma wala haiwezi kunipata, kwani kakosa nini,

Ndugu yangu hapa duniani tunaishi mala moja,
Fanya kile kitu upendacho lakini kwa kiasi
Hapa umeongea point...duniani tunaishi mara moja tu

120000 ndo umetumiwa? Hao watoto wako vipi?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Story nzima ni ya mke mdogo, sitaki kuingiza mambo ya mke mkubwa hapa, sitamtendea haki, jana tatizo na mimi, na binafsi nampenda sana, Muda wa kuwa naye upo na hata our tunatoka,

Na yupo happy sana na mimi, kwa sababu matunzo yake anapata kama malkia, na watoto wake anaona wanapanda madaraja, wa kwanza keshaajilia na anakula 2.5 M, Binti mdogo tu, wapili naye 1,8 m, Ana shida gani na hiyo kazi yote nimefanya mimi, Ila kama nilivyosema hao wote wana miaka miwili na mitatu, lakini nimesharushiwa sh 120000 tu.

Lakini vipi mama yao huko, naona kila siku ni nguo
Mpya kabitini, kwa hiyo keshaanza kula matunda ya watoto wake,
Hiyo karma wala haiwezi kunipata, kwani kakosa nini,

Ndugu yangu hapa duniani tunaishi mala moja,
Fanya kile kitu upendacho lakini kwa kiasi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Watoto umewasomesha na wanakazi lakini wamewahi kukutumia laki 1 na ishirini tu .... Daaahhhh kweli uwanaume Ni mateso
 
hii story imefanana na baba mmoja namfahamu tofauti tu yeye aliishia kwenye viwanja

hajafanikiwa kujenga na wanawake wore walimove on wana maisha yao Ila yeye kabakia anarandaranda duniani
Aisee [emoji16]
 
Mimi Mwanamke akibeba mimba wakati hatukupanga abebe mimba halafu nikimuambia aitoe akigoma atajijua mwenyewe shauri yake

Mambo yakunifanya niishi duniani kwa tabu Kama vile nipo kuzimu sitaki kuyaona Wala kuyasikia
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Lakini usisahau ndio sehemu ya maisha, mwanaume anacyotakiwa kuishi, hiyo ipo toka dunia inaanza, na usisahau binadamu ni mnyama, tunajifaragua tu, tabia zote za wanyama tunazo, kwa hiyo ukiona wanyama wana wake wengi na sisi ndio ilitakiwa tuwe hivyo.
Wewe ni dini gani mkuu
 
Mungu wangu,
Mengine wala si ya kucheka,
Ngoja nipaze sauti.

WANAUME TUANZE KUJIONEA HURUMA KWANZA SISI WENYEWE NA MENGINE BAADAYE, HALAFU TUWAPENDE SANA NDUGU ZETUWA KUZALIWA,HAO WATAKUFANA SISI,

KUSOMESHA WATOTO SAWA LAKINI USIJIUMIZE FANYA KWA KIASI ,

ANGALIA SANA FUTURE YAKO MWENYEWE KWANZA BAADAYE HUKO MBELE ITABIDI UJITUNZE MWENYEWE
Huu sasa ubinafsi na sio kujipenda
 
Lakini haina ya kutoa au kuwapa jina hili,
Sio wote huolewa, lakini kumbuka hata wewe mtoto wako siku moja anaweza kuwa bi mdogo wa mtu, au hata mdogo wako

Kwa hiyo kuwa makini na majina ambayo hawana staha, at the wote ni wanawake tu, unaweza kukuta bi mdogo ana staha zai di kuliko huo unaemwita hivyo,

Lakini kumbuka vile vile wanawake wanatuzidi Sadi vile cile, kwa hiyo lazima tubanane hivyo
Dini yako inakuruhusu uoe wake wangapi tuanze hapo kwanza, tuangalie uhalali,
 
Lakini haina ya kutoa au kuwapa jina hili,
Sio wote huolewa, lakini kumbuka hata wewe mtoto wako siku moja anaweza kuwa bi mdogo wa mtu, au hata mdogo wako

Kwa hiyo kuwa makini na majina ambayo hawana staha, at the wote ni wanawake tu, unaweza kukuta bi mdogo ana staha zai di kuliko huo unaemwita hivyo,

Lakini kumbuka vile vile wanawake wanatuzidi Sadi vile cile, kwa hiyo lazima tubanane hivyo
Usiseme nyumba ndogo ni wazuri kuliko mkeo, kwanza ni lazima mke mdogo ataonekana ni mzuri tu kwasababu muda wote anataka kuwa mzuri zaidi ya mke mkubwa, mapungufu ya mkeo yeye anayafanyia kazi kwahiyo usimsifie sana nyumba ndogo
 
Lakini haina ya kutoa au kuwapa jina hili,
Sio wote huolewa, lakini kumbuka hata wewe mtoto wako siku moja anaweza kuwa bi mdogo wa mtu, au hata mdogo wako

Kwa hiyo kuwa makini na majina ambayo hawana staha, at the wote ni wanawake tu, unaweza kukuta bi mdogo ana staha zai di kuliko huo unaemwita hivyo,

Lakini kumbuka vile vile wanawake wanatuzidi Sadi vile cile, kwa hiyo lazima tubanane hivyo
Usiseme nyumba ndogo ni wazuri kuliko mkeo, kwanza ni lazima mke mdogo ataonekana ni mzuri tu kwasababu muda wote anataka kuwa mzuri zaidi ya mke mkubwa, mapungufu ya mkeo yeye anayafanyia kazi kwahiyo usimsifie sana nyumba ndogo
 
Back
Top Bottom