Naomba ushauri: Mimi nafanya biashara na Wakinga je, nichukue tahadhari gani?

Naomba ushauri: Mimi nafanya biashara na Wakinga je, nichukue tahadhari gani?

Kama unaamini kwenye ushirikina basi hakuna cha kukushauri hapa, imani ni kitu kinachojengwa kwa muda mrefu kupitia malezi, na mazingira tofauti tofauti unayopitia.... ni ngumu sana kuiondoa/kuivunja....

Zaidi nikushauri tu uwe unasali kwa imani yako, itakutengenezea unafuu flani kwenye akili yako na kukupunguzia mawazo, ila uhalisia ni kwamba uchawi ni stori za vijiweni
Sahih mkuu mm siamini ushirikin bali ni hofu tu nimepata
 
Habari za Muda kidogo,

Wakuu mimi ndugu yenu ni mpiga madili na pia ni mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi na umeme pia, Sasa katka biashara hizi ninazo fanya ni kwamba nafanya biashara na Wakinga kwa maana ya kwamba mm ndiyo nanunua mizigo kwao na Kisha na mm Kuja kuuza kwa Bei rejareja

Sasa kwa Muda nimekuwa nikifanya nao biashara bila kuniletea usumbufu wowote ila Sasa Hawa ndugu zetu wakinga Wana tahumiwa kuwa Ni watu washirikina Sana na ni watu wakupenda kutoana kafara, misukule n.k inasemekana ni jambo la kawaida wao kutoa kafara ndugu zao bila hofu

Kwa upande wa kubadili supplier nimewahi kuwatumia wachaga waniletee mizigo ila SASa changamoto ya Hawa jirani zangu ni kwamba wananiuzia vifaa kwa Bei ya juu mno kuliko wakingaa na ndio maana nikawahama na kudili na wakinga tu, na Sasa nimetengeneza urafiki wakaribu sana na wakinga mpaka sasa wananikopesha Hadi mizigo ya pesa ndefu bila hofu

Je, kuna watu Wana uzoefu na Hawa jamaa ambapo kwa Sasa hivi ni wao ndio vinara kwa biashara kwenda kufata mizigo China

Je, hawa jamaa bi wadhulumaji?

Je, ni matapeli?

Je wanaweza na mimi kuniloga
Hawana Baya jirani zangu hawa.
Endelea kuzisaka mkuu,,,,,,,,"riziki"
 
Wakinga ni watu waaminifu sana, sio matapeli, na kwa uzoefu huwa hawalogi watu wa nje bali wa nyumbani mwao, yaani family.

Unachotakiwa kujua ni kuwa kwenye biashara 90% wanatumia uchawi, bila kujali kabila.

So hata hao unaowadhania hawatumii uchawi nao ni mule mule.

Kama hofu ni ushirikina muombe Mungu akuongoze mahali ambapo utanunua kwa bei nzuri na wanaouza hawatumii uchawi.

Mungu atakuonyesha tu.
Umemaliza yote kula tano mtu wangu 😍😍😍
 
Wasiwasi ndio akili,ila ngoja nikuitie dada Mkinga maana na yeye ana duka lake mtaa wa sikukuu atupe Moja na mbili Lamomy Haya njoo ujibu hoja hapa
Dada sisi wakinga ni waaminifu na tunapenda kufanya biashara yenye mzunguko na inayotembea kwa haraka. Ndiomana tunaweka faida ndogo.
Yeye kikubwa asilete janja janja Za nyani anapodhaminiwa mizigo hiyo auze kilicho cha watu apeleke asiingie tamaa.
Na issue ya uchawi na majini hiyo propaganda tu km uchawi ni utajiri wengi tungekaa bila kufanya kazi. Hivyo uchawi ni tabia ya mtu.
Ukitaka usiyumbe fanya kazi kwa bidii, mtangulize Mungu na kuwa na nidhamu na pesa.
Mwisho sina duka kkoo msimsikilize Kantry anawadanganya 🤣🤣🤣
 
Dada sisi wakinga ni waaminifu na tunapenda kufanya biashara yenye mzunguko na inayotembea kwa haraka. Ndiomana tunaweka faida ndogo.
Yeye kikubwa asilete janja janja Za nyani anapodhaminiwa mizigo hiyo auze kilicho cha watu apeleke asiingie tamaa.
Na issue ya uchawi na majini hiyo propaganda tu km uchawi ni utajiri wengi tungekaa bila kufanya kazi. Hivyo uchawi ni tabia ya mtu.
Ukitaka usiyumbe fanya kazi kwa bidii, mtangulize Mungu na kuwa na nidhamu na pesa.
Mwisho sina duka kkoo msimsikilize Kantry anawadanganya 🤣🤣🤣
Asiposikia huu ushauri Toka Kwa Mkinga halisi basi tena.
 
Dada sisi wakinga ni waaminifu na tunapenda kufanya biashara yenye mzunguko na inayotembea kwa haraka. Ndiomana tunaweka faida ndogo.
Yeye kikubwa asilete janja janja Za nyani anapodhaminiwa mizigo hiyo auze kilicho cha watu apeleke asiingie tamaa.
Na issue ya uchawi na majini hiyo propaganda tu km uchawi ni utajiri wengi tungekaa bila kufanya kazi. Hivyo uchawi ni tabia ya mtu.
Ukitaka usiyumbe fanya kazi kwa bidii, mtangulize Mungu na kuwa na nidhamu na pesa.
Mwisho sina duka kkoo msimsikilize Kantry anawadanganya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante sna kwa taarifa hi muhimu
 
Km bado hujaoa, oa mkinga ufurahie maisha ya peponi duniani [emoji12]
Duh mkuu kweli unasema au unanitakia majanga yanipate mnk Nina mmoja anaitwa J......tweve namfikiria lkn huwa namuogopa mnk nae anapesa balaa na Bado hajaolewa na huwa namuogopa mno nahisi asije kuwa Ni wale wale tu wa kutoa kafara am scared u know[emoji23]
 
Mimi ninawashauri wakinga wawe makini na mtu mpumbavu kama wewe. Mtu ambaye umeaminika hadi kukopeshwa mzigo wa noti ndefu lakini bado unahisi unataka kutapeliwa na kulogwa... jinga kabisa. Watu kama nyie ndo mnafanya maendeleo yasiwepo.
 
Back
Top Bottom