Naomba ushauri: Mpenzi wangu ana tabia ya uongo

Naomba ushauri: Mpenzi wangu ana tabia ya uongo

"malaya wote ni waongo waongo na rafiki wa uongo ni wizi. Kwa kifupi mtu muongo ni malaya na mwizi"

Nadhani ushauri wa maana upo hapo.
 
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Huyo binti ni mdogo na ndio anaanza kuwa naye mjanja mjanja .
Halafu kwani wewe ni kweli ??
 
Uwaga unampa pesa za matumizi madogo madogo?

Njaa zinamfanya mwanamke awe na tabia nyingine za ajabu ajabu na sio tu mwanamke hata mwanaume.

Mwanaume maskini wengi waatadondokea kwenye wizi na utapeli na mwanamke maskini kwenye umalaya na kudanga.

Sasa huyo demu wako kama hana kazi na hela ya vitu vdg vdg hapati ktk kwako basi hataishia kwenye uongo bali ataanza kugongwa hovyo
 
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Wee jamaa ni mtu wa ajabu sana siijui utakuwa kabila Gani ivi

1.kwanini unashidwa kumsitili mpenzi wako jambo lake la Siri ukakimbilia kumwambia Dada yake

2.mpka hapo ushaonekana ww ni mmbeya

2.Miaka yote umempiga pumbu mpka k umeichakaza leo unataka kumuacha kwa vitu ambayo ww ndo mwenye makosa

3.ivi unadhani ungekuwa unamuhudumia vizuli hayo yote unayoyazungumza yangekuwepo

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Tafuta Pesa
Mpe Pesa Mpe Pesa na mwisho Mpe Pesa
 
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Unadate na Lissa Atakuua huyo
Unampa pesa na yeye anampa anayempenda zaidi
 
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Piga chini papuchi ziko nying saana
 
Wee jamaa ni mtu wa ajabu sana siijui utakuwa kabila Gani ivi

1.kwanini unashidwa kumsitili mpenzi wako jambo lake la Siri ukakimbilia kumwambia Dada yake

2.mpka hapo ushaonekana ww ni mmbeya

2.Miaka yote umempiga pumbu mpka k umeichakaza leo unataka kumuacha kwa vitu ambayo ww ndo mwenye makosa

3.ivi unadhani ungekuwa unamuhudumia vizuli hayo yote unayoyazungumza yangekuwepo

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Alafu sasa kesi haina hata mshiko yaani mwanaume unafatilia vitu vya kijinga kama hivo
 
Mimi nilishapiga chini wa hivyo
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,

Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.

Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu

Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa

NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
 
Tatizo mkuu unambania sana kwenye fedha.Inabidi atumie akili ya ziada kukutapeli.
 
Nilitaka kuandika utani ila niwe mkweli.

Mteme.
 
Back
Top Bottom