Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #21
Ilete hiyo michongo kama unaijua kazi kupiga kelele tuUnalialia nini tafuta michongo ya kiume iyo kazi mwachie mdogo wako wa kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilete hiyo michongo kama unaijua kazi kupiga kelele tuUnalialia nini tafuta michongo ya kiume iyo kazi mwachie mdogo wako wa kike.
Kama unaona mshahara hautoshi, acha kazi!Mimi ni muajiriwa wa kampuni X, ila kiukweli mshahara ni mdogo sana nalipwa 250/month.
kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.
Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.
Hapo bado nina ndugu mkoani kaka zangu wajinga wajinga wasiotaka kujishughulisha na kuniachia mzigo wa kuwalisha wao pamoja na mzazi wangu mmoja (mama).
Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.
Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.
Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.
Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.
Nipo Dar es Salaam.
Watu wengine akili zenu mbovu sanaKama unaona mshahara hautoshi, acha kazi!
Weka 20000 kila mwezi,kwenye hiyo 20000 toa Tsh 5000 kila week kwaajili ya kubet na hakikisha unaweka odds chache zisizidi 0dds kumina uhakika utakuwa utaingiza shiling 60000 kila week nje ya mshahara wako, kazi njema sisi wengine tunalipwa 80000 tu kwa mwezi tukiwa hatulali usiku kucha na hii kazi yangu ya ulinzi🙏Mimi ni muajiriwa wa kampuni X, ila kiukweli mshahara ni mdogo sana nalipwa 250/month.
kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.
Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.
Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.
Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.
Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.
Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.
Nipo Dar es Salaam.
apunguze matumizi kwenye 250k ili ale vumbi sasa!Punguza matumizi
Save 100000 kila mwisho wa mwezi hakikisha hauitumii
Rikiboy, bro hizo pesa anazolipwa ni nyingi sana ningekuwa mimi nasave 200000 hapo.Hivii unaposhauri hivi unakuwa Unajifurahisha au???? Apunguze matumizi hiyo familia itakulaa mawee au???
Mkuu unasurvive vp na upo mkoa gani?Weka 20000 kila mwezi,kwenye hiyo 20000 toa Tsh 5000 kila week kwaajili ya kubet na hakikisha unaweka odds chache zisizidi 0dds kumina uhakika utakuwa utaingiza shiling 60000 kila week nje ya mshahara wako, kazi njema sisi wengine tunalipwa 80000 tu kwa mwezi tukiwa hatulali usiku kucha na hii kazi yangu ya ulinzi🙏
Kama ipi mkuu mawazo yako ni muhimuapunguze matumizi kwenye 250k ili ale vumbi sasa!
mm nashauri afikiri namna ya kuongeza kipato extra jobs inahusika hapo!
Mkuu naona kuna mengi ya kujifunza kwako naomba nipe mbinu unazotumia kusurvive kwa kiwango hicho cha mshaharaWatu tunalipwa 80000 tu, tunasave Tsh 50000, tunatumia Tsh 30000 kwa chakula kila mwezi.
Nipo hapa mtoni mtongani, muda mwingine napatikana tandale, nashindia miguu ya kuku na maji.Mkuu unasurvive vp na upo mkoa gani?
Na vp kuhusu mikeka mkuu inaweza kunisaidiaNipo hapa mtoni mtongani, muda mwingine napatikana tandale, nashindia miguu ya kuku na maji.
Achana na biashara huwezi kutoboa utapoteza mtaji labda ujikite kwenye ushirikina njoo kwenye urahibu wa kubeti lakini usiwe na tamaa tafuta odds zako tano za uhakika kila siku weka 2000- 5000, utanishukuru baadae, pia uzi wako pendwa huwe ni ule wa wazee wenzangu wa kubeti😂😂😂Na vp kuhusu mikeka mkuu inaweza kunisaidia
Kwa situation kama zetu hizi achana na mademu japo mbususu ni tamu balaa.Na vp kuhusu mikeka mkuu inaweza kunisaidia
Funga mkanda ili kila mwezi uweke akiba ya 50,000 bila kukosa kwa mwaka mmoja au miwili... Huo mtaji utakaopata anzisha biashara hata kama ni ya genge duka...Fafanua mkuu
Yeah..nishapita huko mkuu nishapata mwanga kiac nasubili jumamosi nitandaze mkeka wangu safi tu kutoka premier leagueAchana na biashara huwezi kutoboa utapoteza mtaji labda ujikite kwenye ushirikina njoo kwenye urahibu wa kubeti lakini usiwe na tamaa tafuta odds zako tano za uhakika kila siku weka 2000- 5000, utanishukuru baadae, pia uzi wako pendwa huwe ni ule wa wazee wenzangu wa kubeti😂😂😂
Hizo nishaacha mkuuKwa situation kama zetu hizi achana na mademu japo mbususu ni tamu balaa.
Achana na mambo ya kufungua magenge kama wanawake, ni bora ubebe zege kuliko kuuza vimbua na mandaziYeah..nishapita huko mkuu nishapata mwanga kiac nasubili jumamosi nitandaze mkeka wangu safi tu kutoka premier league
Shukrani sana mkuu nitajitahidi kufanya hivoFunga mkanda ili kila mwezi uweke akiba ya 50,000 bila kukosa kwa mwaka mmoja au miwili... Huo mtaji utakaopata anzisha biashara hata kama ni ya genge duka...