Naomba ushauri: Mshahara wangu ni mdogo sana; hautoshelezi mahitaji yangu na familia inayonitegemea

Naomba ushauri: Mshahara wangu ni mdogo sana; hautoshelezi mahitaji yangu na familia inayonitegemea

Kwanza, Acha kuwatumia Hela hao ndugu zako wasiotaka kujishughulisha.

Mama yako mzazi na ndugu zako hawakudai kitu, Pambania Maisha yako acha kuendekeza Huruma za kijinga.

Wakipiga simu kuomba hela jibu lako kwao liwe moja tu, " Hali ngumu,Sina hela" full stop...
 
Mimi ni muajiriwa wa kampuni X, ila kiukweli mshahara ni mdogo sana nalipwa 250/month.

kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.

Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.

Hapo bado nina ndugu mkoani kaka zangu wajinga wajinga wasiotaka kujishughulisha na kuniachia mzigo wa kuwalisha wao pamoja na mzazi wangu mmoja (mama).

Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.

Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.

Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.

Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.

Nipo Dar es Salaam.
Kama unaona mshahara hautoshi, acha kazi!
 
Mimi ni muajiriwa wa kampuni X, ila kiukweli mshahara ni mdogo sana nalipwa 250/month.

kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.

Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.


Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.

Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.

Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.

Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.

Nipo Dar es Salaam.
Weka 20000 kila mwezi,kwenye hiyo 20000 toa Tsh 5000 kila week kwaajili ya kubet na hakikisha unaweka odds chache zisizidi 0dds kumina uhakika utakuwa utaingiza shiling 60000 kila week nje ya mshahara wako, kazi njema sisi wengine tunalipwa 80000 tu kwa mwezi tukiwa hatulali usiku kucha na hii kazi yangu ya ulinzi🙏
 
Watu tunalipwa 80000 tu, tunasave Tsh 50000, tunatumia Tsh 30000 kwa chakula kila mwezi.
 
Hivii unaposhauri hivi unakuwa Unajifurahisha au???? Apunguze matumizi hiyo familia itakulaa mawee au???
Rikiboy, bro hizo pesa anazolipwa ni nyingi sana ningekuwa mimi nasave 200000 hapo.
 
Weka 20000 kila mwezi,kwenye hiyo 20000 toa Tsh 5000 kila week kwaajili ya kubet na hakikisha unaweka odds chache zisizidi 0dds kumina uhakika utakuwa utaingiza shiling 60000 kila week nje ya mshahara wako, kazi njema sisi wengine tunalipwa 80000 tu kwa mwezi tukiwa hatulali usiku kucha na hii kazi yangu ya ulinzi🙏
Mkuu unasurvive vp na upo mkoa gani?
 
Watu tunalipwa 80000 tu, tunasave Tsh 50000, tunatumia Tsh 30000 kwa chakula kila mwezi.
Mkuu naona kuna mengi ya kujifunza kwako naomba nipe mbinu unazotumia kusurvive kwa kiwango hicho cha mshahara
 
Na vp kuhusu mikeka mkuu inaweza kunisaidia
Achana na biashara huwezi kutoboa utapoteza mtaji labda ujikite kwenye ushirikina njoo kwenye urahibu wa kubeti lakini usiwe na tamaa tafuta odds zako tano za uhakika kila siku weka 2000- 5000, utanishukuru baadae, pia uzi wako pendwa huwe ni ule wa wazee wenzangu wa kubeti😂😂😂
 
Achana na biashara huwezi kutoboa utapoteza mtaji labda ujikite kwenye ushirikina njoo kwenye urahibu wa kubeti lakini usiwe na tamaa tafuta odds zako tano za uhakika kila siku weka 2000- 5000, utanishukuru baadae, pia uzi wako pendwa huwe ni ule wa wazee wenzangu wa kubeti😂😂😂
Yeah..nishapita huko mkuu nishapata mwanga kiac nasubili jumamosi nitandaze mkeka wangu safi tu kutoka premier league
 
S
Funga mkanda ili kila mwezi uweke akiba ya 50,000 bila kukosa kwa mwaka mmoja au miwili... Huo mtaji utakaopata anzisha biashara hata kama ni ya genge duka...
Shukrani sana mkuu nitajitahidi kufanya hivo
 
Back
Top Bottom