Naomba ushauri: Mshahara wangu ni mdogo sana; hautoshelezi mahitaji yangu na familia inayonitegemea

Acha hiyo Kazi..
 
Achana na mambo ya kufungua magenge kama wanawake, ni bora ubebe zege kuliko kuuza vimbua na mandazi
Hilo kwangu ni sitaweza nishazoea mizunguko na hustle kubwa kubwa kukaa na kuanza kuuza nyanya sitaweza
 
Solution ni moja tu Get rich or die trying
 
Pole kwa changamoto.

Hebu soma uzi huu unaweza ukapata kitu. Nimepitia mengi toka 2013 kwa kufupisha fupisha story hii mpaka 2023
 
Ujinga kitu gani angalia fursa zingine mbona tuna matoto ya ndugu kibao tunasupport ada wewe hao nduguzo chakula tu unataka forum isimame Ebho!!! Kuwa serious basi last born
Ujinga kitu gani angalia fursa zingine mbona tuna matoto ya ndugu kibao tunasupport ada wewe hao nduguzo chakula tu unataka forum isimame Ebho!!! Kuwa serious basi last born
Tuna matoto ya ndugu
We jamaa una roho mbaya kwelii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…