Naomba ushauri; mwili unaishiwa nguvu baada ya kuamka kutoka ndotoni

Naomba ushauri; mwili unaishiwa nguvu baada ya kuamka kutoka ndotoni

Hapo unapigishwa kazi ukiwa umelala mkuu (Unachawiwa)alaf unadanganyishwa na ndoto ukishamliza kupiga kaz wa wapoloo unaachiwa uamke
 
Habari wakuu

Ushauri wenu tafadhali, hii imekuwa ikinitokea kama mara yatatu mfululizo lakini leo saa nne asubuhi nimepitiwa usingizi kidogo kitandani nimejikuta naanza kuota vitu vya kutisha na watu wanamkimbia huyo mtu mimi amenikamata, mara nimeshtuka mwili wote hakuna kinachofanya nabaki kuangalia tu mpaka dakika 1 au 1:30 ndio fahamu zaviungo zimerudi.
sijui ni tatizo gani, ushauri wenu.

Asanteni
Mkuu nahisi ilo tatizo linakutokea kutokana na kulala kwa mgongo, kama huwa unalalaga kwa mgongo ni rahisi sana kuota ndoto mbaya
 
Habari wakuu

Ushauri wenu tafadhali, hii imekuwa ikinitokea kama mara yatatu mfululizo lakini leo saa nne asubuhi nimepitiwa usingizi kidogo kitandani nimejikuta naanza kuota vitu vya kutisha na watu wanamkimbia huyo mtu mimi amenikamata, mara nimeshtuka mwili wote hakuna kinachofanya nabaki kuangalia tu mpaka dakika 1 au 1:30 ndio fahamu zaviungo zimerudi.
sijui ni tatizo gani, ushauri wenu.

Asanteni


Una kilo ngapi?.

Usiku unapata usingizi wa kutosha?.

Mwenza wako anasema ukilala unakoroma?.

Unatumia pombe?
 
Una kilo ngapi?.

Usiku unapata usingizi wa kutosha?.

Mwenza wako anasema ukilala unakoroma?.

Unatumia pombe?
1: Usingizi huwa napata mkuu


2: badp sijaoa nna miaka 20 tu.


3: huwa natumia spirit sana dry
 
Back
Top Bottom