Naomba ushauri; mwili unaishiwa nguvu baada ya kuamka kutoka ndotoni

Naomba ushauri; mwili unaishiwa nguvu baada ya kuamka kutoka ndotoni

NAKUSHAURI UFANYE TIBA MBADALA YA CHUMVI, KUOGA MAJI YENYE YA MAWE! MSHANA JR. ALINIFUNZA HIVI TANGU HADI SASA SIJAWAHI OTA TENA NDOTO ZA KUTISHA.

NDOTO ZANGU ZILIKUWA HATARI SANA, ZA KWAKO ZINASUBIRI KAKA! NILIPOFANYA HIVYO HAYO MAUZA MAUZA YAMETOWEKA KABISA NI MIEZI 8 SASA NAISHI MAISHA YA FURAHA BILA HUZUNI!

PEPO WACHAFU WANAKUANDAMA!
Asante mkuu
 
Sema tu kua umeota unapiga papuchi, ndoto hizi humfanya mtu achoke mithili ya safari ya km600 barabara ya vumbi kwa Landrover
 
Acha iman za kijinga. usipeleke kuku kwa sangoma.

kula msosi mwepesi kabla hujalala. FULLSTOP.
 
Uwe unaomba kabla ya kulala. Angalia room kuwe na hewa ya kutosha. Usiku usile saaana! God bless you!
 
Habari wakuu

Ushauri wenu tafadhali, hii imekuwa ikinitokea kama mara yatatu mfululizo lakini leo saa nne asubuhi nimepitiwa usingizi kidogo kitandani nimejikuta naanza kuota vitu vya kutisha na watu wanamkimbia huyo mtu mimi amenikamata, mara nimeshtuka mwili wote hakuna kinachofanya nabaki kuangalia tu mpaka dakika 1 au 1:30 ndio fahamu zaviungo zimerudi.
sijui ni tatizo gani, ushauri wenu.

Asanteni
Kapime moyo.
 
Habari wakuu

Ushauri wenu tafadhali, hii imekuwa ikinitokea kama mara yatatu mfululizo lakini leo saa nne asubuhi nimepitiwa usingizi kidogo kitandani nimejikuta naanza kuota vitu vya kutisha na watu wanamkimbia huyo mtu mimi amenikamata, mara nimeshtuka mwili wote hakuna kinachofanya nabaki kuangalia tu mpaka dakika 1 au 1:30 ndio fahamu zaviungo zimerudi.
sijui ni tatizo gani, ushauri wenu.

Asanteni
Chai ulikunywa?
 
Aisee kumbe huwa unalala pazuri, ndotoni!?
 
Back
Top Bottom