Naomba ushauri na Majibu kuhusu hii personality yangu isiyopendwa na wengi

Naomba ushauri na Majibu kuhusu hii personality yangu isiyopendwa na wengi

Hilo la kukoswa ushirikiano kwa ndugu nahisi limepelekea lakini kuhusu wanafunzi wenzangu labda niweke clear hili mwanzoni nilikuwa nakuwa mkimya sana home shuleni kawaida ila baadae nikaanza kuwa hivyo hadi shule.Sina hasira nao saana hao family member kiasi cha kuwaacha wagongwe na nyoka japo siwezi kusema uongo kiukweli siwakubali kitu kingine kuhusu mimi mtu ukionyesha kunichukia au kutonikubali hata mimi nakuwa sina habari na wewe.
Ok sa kutoka moyoni sema hii kitu.

Umekuja kuomba msaada kwakua hiyo personality inawakera watu? Au kuna kingine?
 
Ok sa kutoka moyoni sema hii kitu.

Umekuja kuomba msaada kwakua hiyo personality inawakera watu? Au kuna kingine?
Hicho Ndio kilichonileta huku mkuu
 
Ok sa kutoka moyoni sema hii kitu.

Umekuja kuomba msaada kwakua hiyo personality inawakera watu? Au kuna kingine?
Hicho Ndio kilichonileta huku mkuu
 
Hicho Ndio kilichonileta huku mkuu
Sijui kama unajua lakini hiyo inamaanisha unastruggle ili u-belong na your fellow peers.
It may imply that you have problems fitting in na pia inamaanisha haujikubali.
 
Sijui kama unajua lakini hiyo inamaanisha unastruggle ili u-belong na your fellow peers.
It may imply that you have problems fitting in na pia inamaanisha haujikubali.
Nimekuelew vyema mkuu nadhan kinachofuata ni kujikubali [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom