Ok sa kutoka moyoni sema hii kitu.Hilo la kukoswa ushirikiano kwa ndugu nahisi limepelekea lakini kuhusu wanafunzi wenzangu labda niweke clear hili mwanzoni nilikuwa nakuwa mkimya sana home shuleni kawaida ila baadae nikaanza kuwa hivyo hadi shule.Sina hasira nao saana hao family member kiasi cha kuwaacha wagongwe na nyoka japo siwezi kusema uongo kiukweli siwakubali kitu kingine kuhusu mimi mtu ukionyesha kunichukia au kutonikubali hata mimi nakuwa sina habari na wewe.
Sijui kama unajua lakini hiyo inamaanisha unastruggle ili u-belong na your fellow peers.Hicho Ndio kilichonileta huku mkuu
Nimekuelew vyema mkuu nadhan kinachofuata ni kujikubali [emoji120] [emoji120]Sijui kama unajua lakini hiyo inamaanisha unastruggle ili u-belong na your fellow peers.
It may imply that you have problems fitting in na pia inamaanisha haujikubali.
Unaongea from experience sio[emoji23][emoji23][emoji23]Acha punyeto nasema acha punyeto narudia tena achaaaaaaaaa kama husikii utakuja kunikumbuka