Tempest
JF-Expert Member
- Apr 26, 2022
- 245
- 430
Habarini wadau
Naomba kuuliza kwenye ishu ya kuvuta maji je unaweza kumalizia mwenyew baada ya mita 50 za dawasa Kwa kutumia fundi wako, maaan nnapoweka ni kama 200M na gharama zao Kwa huo umbali ni kubwa sana, nahofia nisije kufanya hivyo wakaniletea noma.
Gharama za maji ni kuubwa mno na longolongo kibao kuliko umeme, umeme siku hizi ni fasta sana wiki tu na gharama nafuu inaweza isizidi 400,000.
Pia na ile mipira ya kuvutia maji anayejua gharama zake Kwa meter msaada Tafadhal (midogo Ile inayoingiza maji ndani ya nyumba).
Naomba kuuliza kwenye ishu ya kuvuta maji je unaweza kumalizia mwenyew baada ya mita 50 za dawasa Kwa kutumia fundi wako, maaan nnapoweka ni kama 200M na gharama zao Kwa huo umbali ni kubwa sana, nahofia nisije kufanya hivyo wakaniletea noma.
Gharama za maji ni kuubwa mno na longolongo kibao kuliko umeme, umeme siku hizi ni fasta sana wiki tu na gharama nafuu inaweza isizidi 400,000.
Pia na ile mipira ya kuvutia maji anayejua gharama zake Kwa meter msaada Tafadhal (midogo Ile inayoingiza maji ndani ya nyumba).