moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
Rock CityMkuu upo maeneo gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rock CityMkuu upo maeneo gani
Nikajua upo dasalamu huku nilitaka nikuunganishe kwa mfumo ili na wewe uwe unalalamika humuRock City
Duh!!,ndo hapo umekosea pia,,swali jingine je ulipenda nini hasa kwake,kipi kilikuvuta?Mkuu huyu ni mshangazi ujue....
Kumchunguza naanzaje sasa
Ahahahaha why poor again...Poor Brain again🤣🤣🤣
Mkitoka out kunywa vinywaji unavyopenda, yeye mwache na pombe zake..kama ni wa kubadilika atabadilika, japo tabia ni ngozi na mwanamke kuwa mlevi ni majanga.
Kdddkeeee oa mkuu kwanza awali ya yote antiel dorry ni mzr jamni .Duh!!,ndo hapo umekosea pia,,swali jingine je ulipenda nini hasa kwake,kipi kilikuvuta?
Simamia msimamo wako, pombe ni nzuri ikitumiwa kwa kiasi. Nimeona watu wakitumbukia kwenye unywaji uliopitiliza na hali zao ni mbaya.Ahahahaha why poor again...
Mkuu kuna siku walinifosi ujue mpaka nikaona aibu...
Huyu ni mishangz ila naona kwa hii level yetu tunaweza fanya jambo mkuu....Simamia msimamo wako, pombe ni nzuri ikitumiwa kwa kiasi. Nimeona watu wakitumbukia kwenye unywaji uliopitiliza na hali zao ni mbaya.
Hata hivyo mwanamke mlevi hafai kuwa mke, labda wa kuenjoy nae tu!
Kula gambe dg acha uoga, hiyo dini yenu inachagua dhambi, kushenyenta wakubwa zako bila ndoa sio dhambi ila kula gambe ndo dhambi.
Huo ndio ushauri tuliokuwa nao, kama hutaki basi pambana na hali Yako.Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Kwani wewe ni me au keWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Kama jina lakoMkuu wewe heshima zero
Wee jamaa una matatizo ya akiliMe napenda mwanamke mlevi akilewa akizima wewe ni kujichomekea 2.me wa kwangi analewa usiku namcjhomeka weee mpaka basi asbh akiamka anasema eti usiku sijamnyandua nimnyandue basi nami nafurahi naingia mzigoni tena nanyanduaa wee mpaka k inapwita
Hence proved 😄😄🙌Huo ndio ushauri tuliokuwa nao, kama hutaki basi pambana na hali Yako.
DaaahKama jina lako
Mimi mwanamumeKwani wewe ni me au ke
Dr huyu mtu sijamuokota ni officialunaokota wapi hao walevi