didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Yaan umuache mtu kisa pombe ni upuuz huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiyependa pombe hana ushirikiano wowote na mlevi, ulevi na chochote kinachohusisha pombe hata kama ana mvuto kiasi gani. Ni ama wewe ni mlevi au hutaki ulevi na walevi na kumuachia mileleMkuu ebu toaa ushauri bana hv wewe umesoma pote umeona huo mstali wawisho tuu
Kuna maeneo hapa temeke asubuh saa moja.. bodaboda yupo kwenye pikipiki yake kaweka miguu Chini anakunywa bia...Ingia chamani apa ndio tunapata Supu kupunguza Hangover
Ety utakua ujinga eeeehYaan umuache mtu kisa pombe ni upuuz huo
Usiendeshwe na hisia tumia akili kima weweWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Daaah maneno hatareee hayooo mkuuuAsiyependa pombe hana ushirikiano wowote na mlevi, ulevi na chochote kinachohusisha pombe hata kama ana mvuto kiasi gani. Ni ama wewe ni mlevi au hutaki ulevi na walevi na kumuachia milele
Mkuu mimi kwani kima..?Usiendeshwe na hisia tumia akili kima wewe
Mkuu mambo ya heshima tena !! Nikuminya uhuru wangu mkuu , nitaanza kujifanyisha ni mtu wa heshima
mimi mwenyewe nilishangaaMkuu mambo ya heshima tena !! Nikuminya uhuru wangu mkuu , nitaanza kujifanyisha ni mtu wa heshima sasa😁😁😁
unaona demu anakunywa pombe hiyo ni red flag toshaMkuu mimi kwani kima..?
Mkuu mimi sio kima
HahahaaWanawake na wao wakisimamia hili tumekwisha mkuu.
Inawezekana mkuu fuata ulichoandika kwenye NBHiyo ni ngumu sana mkuu
Mkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..
Ila siku za weekend kama hizi kwangu ndo shida huwaza..
Kama sasa kashanitafuta anasema nikanywe supu tusepe...
Najua hapa nikienda mpaka sa nne usiku seriously nachoka
Kuhusu mtoto daaah hiyo nayo changamoto mkuu wangu
hahahaa pole poor,ila nimechekaMkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..
Ila siku za weekend kama hizi kwangu ndo shida huwaza..
Kama sasa kashanitafuta anasema nikanywe supu tusepe...
Najua hapa nikienda mpaka sa nne usiku seriously nachoka
Kuhusu mtoto daaah hiyo nayo changamoto mkuu wangu
Hayajakukuta ujuehahahaa pole poor,ila nimecheka
mimi nikiona hatuwezani sishindwi kutokaHayajakukuta ujue
Kweli kabisa,lkn we ulikosea tangu mwanzo kwa kuingia katika mahusiano bila ndoa,na hukujipa mda wa kumchunguza hadi kwao atokako,ni wapi,wanatabia gani nk,imani hasa ya kiislamu inaelezea vyema hilo,ili kuepuka mambo kama hayo yasitokee, ni mhimu sana lkn baadhi upuuza huu msingi,wanakimbilia Short cut,ushauri waone jamaa zake watu wengine unaowaheshimu na wakaribu wawapeni ushauri, ni hayo tu.Usiseme hvo mwenzako napitia magumu
Kupenda boga napenda ila uwa lake hapana
Kwa mwanaume ulevi kupitiliza ni tatizo ila kwa mwanamke ni tatizo kubwa zaidi sana sana akiwa mke wa mtu, mwanamke ana ushawishi mkubwa kingono. Kumbuka kwenye suala la ngono mwanaume anawinda wakati mwanamke anawindwa na akilewa hii ni advantage kubwa sana kwa mwindaji. Halafu acheni ujinga wa kutaka ligi na mwanaume hata katika mambo ambayo yanawaweka nyie hatarini zaidi.Katika hali ya kawaida ulevi siyo tatizo ila kama ukilewa unafanya vitendo vya hovyo hapo ndio tatizo, sasa siyo kila mtu akilewa hufanya vitendo vya hovyo, halafu unamaanisha ulevi ni tatizo kwa jinsia zote au kwa wanawake tu
Mkuu upo maeneo ganimimi nikiona hatuwezani sishindwi kutoka
Mkuu huyu ni mshangazi ujue....Kweli kabisa,lkn we ulikosea tangu mwanzo kwa kuingia katika mahusiano bila ndoa,na hukujipa mda wa kumchunguza hadi kwao atokako,ni wapi,wanatabia gani nk,imani hasa ya kiislamu inaelezea vyema hilo,ili kuepuka mambo kama hayo yasitokee, ni mhimu sana lkn baadhi upuuza huu msingi,wanakimbilia Short cut,ushauri waone jamaa zake watu wengine unaowaheshimu na wakaribu wawapeni ushauri, ni hayo tu.
Uchunguzi w kina how l..Unajuaje kama hataki kuacha, labda pombe ndio haitaki kumuacha!!! Msilaumu watu bila kufanya uchungu, inawezekana yeye ni victim tu.