Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Mkuu ebu toaa ushauri bana hv wewe umesoma pote umeona huo mstali wawisho tuu
Asiyependa pombe hana ushirikiano wowote na mlevi, ulevi na chochote kinachohusisha pombe hata kama ana mvuto kiasi gani. Ni ama wewe ni mlevi au hutaki ulevi na walevi na kumuachia milele
 
Ingia chamani apa ndio tunapata Supu kupunguza Hangover
Kuna maeneo hapa temeke asubuh saa moja.. bodaboda yupo kwenye pikipiki yake kaweka miguu Chini anakunywa bia...

Kwenda mbele kidogo jamaa Kama wa 4 wamezunguka meza wanapiga bia..hivi watu asubuh asubuh wanapata wapi nguvu za kunywa bia duu

Mimi nakunywaga sometimes Ila sijawai tumbukia kwenye Hilo kundi la watu wa bad..
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Usiendeshwe na hisia tumia akili kima wewe
 
Asiyependa pombe hana ushirikiano wowote na mlevi, ulevi na chochote kinachohusisha pombe hata kama ana mvuto kiasi gani. Ni ama wewe ni mlevi au hutaki ulevi na walevi na kumuachia milele
Daaah maneno hatareee hayooo mkuuu
 
Mkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..
Ila siku za weekend kama hizi kwangu ndo shida huwaza..

Kama sasa kashanitafuta anasema nikanywe supu tusepe...
Najua hapa nikienda mpaka sa nne usiku seriously nachoka

Kuhusu mtoto daaah hiyo nayo changamoto mkuu wangu

Mkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..
Ila siku za weekend kama hizi kwangu ndo shida huwaza..

Kama sasa kashanitafuta anasema nikanywe supu tusepe...
Najua hapa nikienda mpaka sa nne usiku seriously nachoka

Kuhusu mtoto daaah hiyo nayo changamoto mkuu wangu
hahahaa pole poor,ila nimecheka
 
Usiseme hvo mwenzako napitia magumu
Kupenda boga napenda ila uwa lake hapana
Kweli kabisa,lkn we ulikosea tangu mwanzo kwa kuingia katika mahusiano bila ndoa,na hukujipa mda wa kumchunguza hadi kwao atokako,ni wapi,wanatabia gani nk,imani hasa ya kiislamu inaelezea vyema hilo,ili kuepuka mambo kama hayo yasitokee, ni mhimu sana lkn baadhi upuuza huu msingi,wanakimbilia Short cut,ushauri waone jamaa zake watu wengine unaowaheshimu na wakaribu wawapeni ushauri, ni hayo tu.
 
Katika hali ya kawaida ulevi siyo tatizo ila kama ukilewa unafanya vitendo vya hovyo hapo ndio tatizo, sasa siyo kila mtu akilewa hufanya vitendo vya hovyo, halafu unamaanisha ulevi ni tatizo kwa jinsia zote au kwa wanawake tu
Kwa mwanaume ulevi kupitiliza ni tatizo ila kwa mwanamke ni tatizo kubwa zaidi sana sana akiwa mke wa mtu, mwanamke ana ushawishi mkubwa kingono. Kumbuka kwenye suala la ngono mwanaume anawinda wakati mwanamke anawindwa na akilewa hii ni advantage kubwa sana kwa mwindaji. Halafu acheni ujinga wa kutaka ligi na mwanaume hata katika mambo ambayo yanawaweka nyie hatarini zaidi.
 
Unajuaje kama hataki kuacha, labda pombe ndio haitaki kumuacha!!! Msilaumu watu bila kufanya uchungu, inawezekana yeye ni victim tu.
 
Kweli kabisa,lkn we ulikosea tangu mwanzo kwa kuingia katika mahusiano bila ndoa,na hukujipa mda wa kumchunguza hadi kwao atokako,ni wapi,wanatabia gani nk,imani hasa ya kiislamu inaelezea vyema hilo,ili kuepuka mambo kama hayo yasitokee, ni mhimu sana lkn baadhi upuuza huu msingi,wanakimbilia Short cut,ushauri waone jamaa zake watu wengine unaowaheshimu na wakaribu wawapeni ushauri, ni hayo tu.
Mkuu huyu ni mshangazi ujue....
Kumchunguza naanzaje sasa
 
Unajuaje kama hataki kuacha, labda pombe ndio haitaki kumuacha!!! Msilaumu watu bila kufanya uchungu, inawezekana yeye ni victim tu.
Uchunguzi w kina how l..
Mtu mmekutana ukubwani mkuu
 
Back
Top Bottom