Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Mpende zaidi ataacha pombe mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sio mtoto wa 2000..Hii ndo namna vitoto vya 2000 vinavyoingia kwenye mapenzi, mada za namna hii kinatuletea sisi sijui kinataka tukishauri nn na huyo mtoto mwezake?!.
Anyway, ukikua utaacha utoto
Na ndo nachofanya hiki mkuu wangu maana naona ishakua serious hiiMpende zaidi ataacha pombe mwenyewe
Asante mkuu mana ni wewe wa kwnza umeingizia suala la mungu katika hili daah asante sana naendelea kumuomba munguUsimuache,muombee kwa Mungu kila siku bila ya kuchoka atamchomoa,na ataacha kabisa...
Uvivu wa kulimaAchana na mimi wewe...
Unasemaje niachane na mishangazi. Wee mgonjwa wa akili
Wanaume atujaumbiwa mateso mkuuUvivu wa kulima
Kama hutaki kumuacha kakuwekea dawa😅Na ndo nachofanya hiki mkuu wangu maana naona ishakua serious hii
Endelea kumpelekea motoWanaume atujaumbiwa mateso mkuu
Hana tatizoVipi kuhus mwanaume anaekunywa pombe?
Hakuna jipya chini ya juaWee mkuu unasema tuuu...
Ungejua how she is wala usingesema hvi
Mkuu hapana dawa aliwahi kuniwekea yule bibi wa zamaniKama hutaki kumuacha kakuwekea dawa😅
Hapo umeongea point blood yaani happen tupo pamoja..Endelea kumpelekea moto
Unavutia upande wenuHana tatizo
Situmii😅ila nasubiri muda ufike nitumieHapo umeongea point blood yaani happen tupo pamoja..
Vipi ww utumii hvo vtu
Kumbe weee jau et...Situmii😅ila nasubiri muda ufike nitumie
Nakuja kumsupport mshangazi wakoKumbe weee jau et...
Njo kwa system mkuu
Mkuu mi unaposogelea mali yangu ugomvi wale uwezi zuiwa hata na UNNakuja kumsupport mshangazi wako
Na wewe hvo hvo mr beenUpeo wako na id yako vinaendana..
Mungu akosaidie
Be you. Ukifanya jambo ambalo si lako ila unalifanya kwa kusudio la kumfurahisha mpenzi,kaka siku ukiachika maumivu yake yatakuwa makali sana. Majuto yake yatakutesa sana. Kama si mtumiaji na hutaki kuwa mtumiaji basi una machaguo mawili;Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda