Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Punguza kutoka nae akianzisha habari za kutoka jifanyr una mishe zingine au mwambie umemmiss mkae mtulie wawili
Ikiwezekana jifanye unamahaba kweli kweli 😂😂ikiwezekana hata chakula muomne mpike pamoja wekeni movie mtafutie vinywaji laini ambavyo havileweshi sana akianza kuenjoy hiyo kampani anaweza kubadilika
Sina experience km inafanya kazi hii njia😃
Umeongea point madam...
Japo daah huyu mtu ana kichwa kigumu...

Assume leo hii yupo kiwanja huko aiseee
 
Umeongea point madam...
Japo daah huyu mtu ana kichwa kigumu...

Assume leo hii yupo kiwanja huko aiseee
Angalia kampani zake Anza kukata hizo kwanza bila yeye kujua au zipunguze manage wewe ndio uwe kampani yake kuu wengi wanalewa sababu ya kampani ni wachache wanaojipanga kwenda kulewa wakiwa wenyew pekeyao
 
Mkuu kuna kitu umeongea hapo nimezingatia sana..

Mwanamke akishalewa anakua ana mambo ya hovyo sana mkuu.
Assume tuu wanasema pombe zinashuka chini daah hapo ndo nachoka kabisa an .

Najua mda wowote ule analiwa but is not matter je ni vipi naweza mdhibiti ili asinywe kabisa mkuu maana weekend hizi daaah anawaka kweli
Kwanza kabla ya yote mtafute mbadala wa hiyo starehe kwa kuichunguza hobbies zake nyingine (yaani ikitokea anaacha kuwe kuna kitu kina-cover up ile nafasi ya pombe) hii itasaidia.

Pili kupitia ile mifungo ya kiimani aidha kwaresma au ramadhani unachukualia hiyo advantage mnaweka dhamiri/mnafunga kwa malengo ya kwamba katika mfungo huu Mungu atutendee 123... Ikiwemo ya kuacha pombe... Na ndani yakipindi cha mfungo mnakua hamgusi pombe... Hii itasaidia kuondoa ile hamu ya pombe na kusafisha fikra (ina-clear mind)

Technically/basically mwili wa mwanadamu huwa unaji-restore kuanzia kifikra(behavioural), chemical, biological, physical and physiological changes zilizokua altered na lifestyle ya mtu.

Mazingira yanayorahisisha hili zoezi la mwili kuji-restore ni ile nidhamu(discipline(consistency)) ya kufanya kitu sahihi kwa muda na mahali sahihi, huku ikichagizwa na njaa kali (starving).

Kwanini njaa kali? Ni kwasababu mwili ukiwa na njaa kwanza unajipangilia upya ili kuendanana na mabadiliko, (metabolic processes)

Pili kwenye hayo mabadiliko mwili unahamisha mategemezi ya nishati badala ya kumtegemea chakula unachokula tu! unahamia na kula mwili, ile reserved energy(stored food) katika tishu na ogani mbalimbali za mwili inaanza kutumika, ikianza kutumika tu hapo ndio panamaajabu hata kiwango cha sumu mwilini(chemikali zilizoingia mwilini kupitia vyakula na vinywaji nazo zinaanza kutoweka(excreted out body cells, tissue organ body system and eventually out of human body)

Hata ule uraibu wa madawa ya kulevya unapungua(affinity ya mwili kwa functional group ya compounds mbalimbali inapungua (kama vile alcohol, caffeine, nicotine cocaine etc) Kwahiyo hadri unavyokua mda mrefu katika mfungo ndio mwili unavyozidi kuimarika.

Mfungo ndio mbinu pekee inayoweza kukupatia hali kali ya njaa na pia inakupatia discipline ya mambo, ukifanikiwa kufunga kikamilifu kwa muda mrefu. Utaona mabadiliko na utajifunza by experience mambo mengi na ukiwa wise enough unaweza ku apply ule ustahimilivu uliouonyesha kwenye mfungo katika mambo mengine kama vile utunzaji fedha(akiba), kuacha tabia nyingine za ovyo... Kiufupi unakua na nidhamu(discipline) na self-control nzuri kiasi kwamba kuna vitu ulikua unahisi haviwezekani au huwezi kufanya ila baadae utagundua kumbe inawezekana.
 
Angalia kampani zake Anza kukata hizo kwanza bila yeye kujua au zipunguze manage wewe ndio uwe kampani yake kuu wengi wanalewa sababu ya kampani ni wachache wanaojipanga kwenda kulewa wakiwa wenyew pekeyao
Marafiki wake wa kazini wengi siwajui hao ndo analewa nao sana..
Kuna siku hao hao marafiki zake walinichanganyia vtu nikaanza kujiskia kichwa kuuma..

Bado anafosi nitumie mashisha najaribu kumweka karibu twende sehem ambazo hakuna vilevi ila akikutoka kidogo tuu tayar unakuta kasha washa
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Usimuache,muombee kwa Mungu kila siku bila ya kuchoka atamchomoa,na ataacha kabisa...
 
Kwanza kabla ya yote mtafute mbadala wa hiyo starehe kwa kuichunguza hobbies zake nyingine (yaani ikitokea anaacha kuwe kuna kitu kina-cover up ile nafasi ya pombe) hii itasaidia.

Pili kupitia ile mifungo ya kiimani aidha kwaresma au ramadhani unachukualia hiyo advantage mnaweka dhamiri/mnafunga kwa malengo ya kwamba katika mfungo huu Mungu atutendee 123... Ikiwemo ya kuacha pombe... Na ndani yakipindi cha mfungo mnakua hamgusi pombe... Hii itasaidia kuondoa ile hamu ya pombe na kusafisha fikra (ina-clear mind)

Technically/basically mwili wa mwanadamu huwa unaji-restore kuanzia kifikra(behavioural), chemical, biological, physical and physiological changes zilizokua altered na lifestyle ya mtu.

Mazingira yanayorahisisha hili zoezi la mwili kuji-restore ni ile nidhamu(discipline(consistency)) ya kufanya kitu sahihi kwa muda na mahali sahihi, huku ikichagizwa na njaa kali (starving).

Kwanini njaa kali? Ni kwasababu mwili ukiwa na njaa kwanza unajipangilia upya ili kuendanana na mabadiliko, (metabolic processes)

Pili kwenye hayo mabadiliko mwili unahamisha mategemezi ya nishati badala ya kumtegemea chakula unachokula tu! unahamia na kula mwili, ile reserved energy(stored food) katika tishu na ogani mbalimbali za mwili inaanza kutumika, ikianza kutumika tu hapo ndio panamaajabu hata kiwango cha sumu mwilini(chemikali zilizoingia mwilini kupitia vyakula na vinywaji nazo zinaanza kutoweka(excreted out body cells, tissue organ body system and eventually out of human body)

Hata ule uraibu wa madawa ya kulevya unapungua(affinity ya mwili kwa functional group ya compounds mbalimbali inapungua (kama vile alcohol, caffeine, nicotine cocaine etc) Kwahiyo hadri unavyokua mda mrefu katika mfungo ndio mwili unavyozidi kuimarika.

Mfungo ndio mbinu pekee inayoweza kukupatia hali kali ya njaa na pia inakupatia discipline ya mambo, ukifanikiwa kufunga kikamilifu kwa muda mrefu. Utaona mabadiliko na utajifunza by experience mambo mengi na ukiwa wise enough unaweza ku apply ule ustahimilivu uliouonyesha kwenye mfungo katika mambo mengine kama vile utunzaji fedha(akiba), kuacha tabia nyingine za ovyo... Kiufupi unakua na nidhamu(discipline) na self-control nzuri kiasi kwamba kuna vitu ulikua unahisi haviwezekani au huwezi kufanya ila baadae utagundua kumbe inawezekana.
Daaah kwanza mkuu naomba nijue wewe ni mtaalamu wa afya sio..?

Maana naona umegusia vitu kitaalamu sana..
Yaani nimesoma kwa makini sana.
Kuna kitu hapa ambacho huwenda mimi nakikosea mkuu
 
Back
Top Bottom