Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Mpeleke kwa Mwamposa
 
Mnajaribu kutumbukizana shimoni
 

Attachments

  • Screenshot_20241214_102449.jpg
    Screenshot_20241214_102449.jpg
    252.9 KB · Views: 2
Pombe ni kama sigara huwezi mlazimisha mtu aache..ataacha mwenyewe kwa matakwa yake.

Solution ni moja tu achana nae ingawa hutaki kuambiwa hivyo basi fata ule msemo usemao ukipenda boga penda na ua lake.
Siwezi tumia dawa yoyote kumfanya achukie pombe madam
 
Mpeleke kwa Mwamposa
Na ni muumini mkubwa wa mwamposa ila uwezi amini kuna siku alinitumia video yupo huko ila alikua anakatika sijui ndo hapo nikaona kumbe huko kwa mwamposa napo jau tuu mkuu
 
Ndege wafananao ndiyo huruka pamoja!
Chagua kusuka au kunyoa! Ukipenda boga penda na ua lake.
Chagua dini au mwenzio!
Kubali kunywa pombe kama yeye!
 
Back
Top Bottom