Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

tapatalk_1677991808146.jpg
 
Kweli wewe ni Poor Brain kwahiyo mapenz yakakufanya uanze kutumia pombe ili mpate vibe sawa?
Mimi nadhani uendelee tu maana kashakuzidi akili na mapenzi ni kuzoeana na kufanana nawe mzoeshe kumruka ukuta kama kweli una akili zaidi yake😁
 
Kweli wewe ni Poor Brain kwahiyo mapenz yakakufanya uanze kutumia pombe ili mpate vibe sawa?
Mimi nadhani uendelee tu maana kashakuzidi akili na mapenzi ni kuzoeana na kufanana nawe mzoeshe kumruka ukuta kama kweli una akili zaidi yake😁
Astakfillah astakfillah kuruka ukuta yaani kufanya kitendo nyuma na maumbile mkuu..
Wee ni mchawi au
 
Juzi tu nimetoka na pikipiki kariakoo hadi kigamboni ile nafika mtaani nikapata ajali PC yote imeharibika goti limepata majanga nikapiga yowe sio powa ila baada ya harakati za kwenda moi now Nina nafuu sana
Mkuu ulikua TUNGI...
Alafu wewe naonaga mara nyingi wanakuonya uache pombe..

Wewe utaendana na D kumbe
 
Astakfillah astakfillah kuruka ukuta yaani kufanya kitendo nyuma na maumbile mkuu..
Wee ni mchawi au
Sio mchawi ila penzi lenu linaonyesha wazi limejengwa katika misingi ya kumatch vibe nawe ndo mnyonge, pombe inanogesha penzi jaribuni na bangi mtakuja kunishukuru.
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Ushauri wenyewe ndo huo usioupenda lakini kama na yeye anakupenda inampasa akuelewe hutaki pombe.
 
Back
Top Bottom