Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #61
Ndio mkuu70% population ya Tanzania ni vijana chini 35%.....kuna haja kuwekeza sanq kwenye vijana.....baada miaka 20 Rais anatakiwa awe 40yrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu70% population ya Tanzania ni vijana chini 35%.....kuna haja kuwekeza sanq kwenye vijana.....baada miaka 20 Rais anatakiwa awe 40yrs
Juzi tu nimetoka na pikipiki kariakoo hadi kigamboni ile nafika mtaani nikapata ajali PC yote imeharibika goti limepata majanga nikapiga yowe sio powa ila baada ya harakati za kwenda moi now Nina nafuu sanaPombe jau mkuu oooh
Sawa poor brainKaka kuumia hakuna tuzo ujue...
Ni njia ya utafutaji pia
Weee jamaa nyoko sana ujue 😀😀😀😀
Seriously mkuu yaani kuteseka hakuna tuzoSawa poor brain
Astakfillah astakfillah kuruka ukuta yaani kufanya kitendo nyuma na maumbile mkuu..Kweli wewe ni Poor Brain kwahiyo mapenz yakakufanya uanze kutumia pombe ili mpate vibe sawa?
Mimi nadhani uendelee tu maana kashakuzidi akili na mapenzi ni kuzoeana na kufanana nawe mzoeshe kumruka ukuta kama kweli una akili zaidi yake😁
Mkuu ulikua TUNGI...Juzi tu nimetoka na pikipiki kariakoo hadi kigamboni ile nafika mtaani nikapata ajali PC yote imeharibika goti limepata majanga nikapiga yowe sio powa ila baada ya harakati za kwenda moi now Nina nafuu sana
Ndio uhalisia, utamuacha ila pombe itaendelea kuwa nae. Badilika wewe ila sio yeyeWewe half American jaribu kutumia lugha nzuri unasemaje pombe muhimu kuliko mimi..
Hv wewe ukiambiwa hvo utajiskiaje mkuu
Sio mchawi ila penzi lenu linaonyesha wazi limejengwa katika misingi ya kumatch vibe nawe ndo mnyonge, pombe inanogesha penzi jaribuni na bangi mtakuja kunishukuru.Astakfillah astakfillah kuruka ukuta yaani kufanya kitendo nyuma na maumbile mkuu..
Wee ni mchawi au
Ushauri wenyewe ndo huo usioupenda lakini kama na yeye anakupenda inampasa akuelewe hutaki pombe.Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Yaani mimi ninywe pombe...Ndio uhalisia, utamuacha ila pombe itaendelea kuwa nae. Badilika wewe ila sio yeye
Sio mchawi ila penzi lenu linaonyesha wazi limejengwa katika misingi ya kumatch vibe nawe ndo mnyonge,Astakfillah astakfillah kuruka ukuta yaani kufanya kitendo nyuma na maumbile mkuu..
Wee ni mchawi au
Achana naeYaani mimi ninywe pombe...
Siwezi hapana na sitaki hamna dawa ya kumvhangamyia akaacha
Wee jamaa kama ndo unatoaga ushauri hvo basi umepoteza vijana wengi wallahSio mchawi ila penzi lenu linaonyesha wazi limejengwa katika misingi ya kumatch vibe nawe ndo mnyonge, pombe inanogesha penzi jaribuni na bangi mtakuja kunishukuru.
Siwezi nampenda mkuuAchana nae
Hapo huna namna ya kumshawishi aache,. Kama unampenda endana nae tu lakini mnywe kwa kiasi😃😃Madam seriously ndo ushauri wako umeishia hapa