Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Wee jamaa kama ndo unatoaga ushauri hvo basi umepoteza vijana wengi wallah
Inakuaje unafundishwa kunywa pombe na Malaya? Unajua yeye alifundishwa na nani? Kuna siku atakuamisha mlango na utakuja kutuomba tena ushauri.
Afu pombe sio issue kubwa kuliko uzinzi mbona.
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Dini yako inakataza pombe sawa ...je onaruhusu kuzagamuana bila ndoa!?? Mbona unampa mbususu!??
 
Ulimkuta anakunywa pombe ukampenda hivyo hivyo sasa kwa nini utake kumbadilisha? Kubali kuwa nae hivyo hivyo ama la uachane nae.
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Yaani nyapu unakamua afu pombe singizia dini anyway kosa lako nikuanza kutumia kiasi ungebaki na msimamo wakuto kunywa hata kidogo ingekuwa rahisi kumshawishi maana angejua wewe sio mtu wapombe only sasa ulisha jaribu nakumuonyesha kuwa ina wezekana kukufanya mnywaji mwenzie hapo kazi unayo
 
Hapana kanikuta situmii
Basi ukipenda boga penda na ua lake. Otherwise mtengenezee mazingira ambayo itakuwa ngumu kwa yeye kupata pombe. Mfano mfungulie biashara ambayo pombe haipatikani au muweke kwenye kazi ambapo wewe upo ili Kila wakati mnaonana na utaendelea kumkataza anaweza akazoea mazingira ya kutokunywa.
 
Basi ukipenda boga penda na ua lake. Otherwise mtengenezee mazingira ambayo itakuwa ngumu kwa yeye kupata pombe. Mfano mfungulie biashara ambayo pombe haipatikani au muweke kwenye kazi ambapo wewe upo ili Kila wakati mnaonana na utaendelea kumkataza anaweza akazoea mazingira ya kutokunywa.
Mkuu ni mfanyakazi wa serikali huko ubarozi ujue sio kwamba hana kazi..
Ishu inakuja mda kama weekend ndo kasheshe huanza
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Pombe ni kama sigara huwezi mlazimisha mtu aache..ataacha mwenyewe kwa matakwa yake.

Solution ni moja tu achana nae ingawa hutaki kuambiwa hivyo basi fata ule msemo usemao ukipenda boga penda na ua lake.
 
Back
Top Bottom