Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #21
Sio wa kuoa mkuu ni shangazi tuuUsioe mwanamke mlevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wa kuoa mkuu ni shangazi tuuUsioe mwanamke mlevi
Nashauri uendelee kuteswa hadi akili ikae sawa 😹Ndugu yako ananitesa..
Kama jana unajua alichofanya...😥😥😥😥
Seriously anazingua
Wewe half American jaribu kutumia lugha nzuri unasemaje pombe muhimu kuliko mimi..Uwezi muachanisha na kitu uliyokuta anaitumia hata kabla hamjafahamiana, kwake pombe ni muhimu kukuzidi na haijawai kumsaliti. Wewe ndio unapaswa uachane nae kama hupendi
Vizuri, inawezekana ulichelewa kubaleheNakimbilia 25 hukooo
Hivi kwenu wanajua kama huwa unapiga mbizi baharini? 😂😂😂😂Sio wa kuoa mkuu ni shangazi tuu
Sio kuteswa malipo hapa hapa...Nashauri uendelee kuteswa hadi akili ikae sawa 😹
Kwanini umekua hvi mkuu...Vizuri, inawezekana ulichelewa kubalehe
Sasa miaka 25 Dorry 50 unamshauri niniSio kuteswa malipo hapa hapa...
Mtu anajua fika nampenda ila asikiii ndo nini sasa
Aachane na pombe..Sasa miaka 25 Dorry 50 unamshauri nini
Bahati mbaya sijawahi kuwa mshauri wa vijana, wala kushauri mtu kitu chochote nje ya kazi. Mimi ni muumini mkubwa wa Live as you wish.Kwanini umekua hvi mkuu...
Kwanini unashindwa kua mtu wa ushauri nasaha kwa vijana..
Au utafurahi nikiingia kwa dimbwi la ulevi
Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amelaani aina ya watu kumi wanaohusika na pombe amesema: “Tayari ushakula mjani wewe
Yao yao
Wee jamaa una mambo hovyo kumbe..Bahati mbaya sijawahi kuwa mshauri wa vijana, wala kushauri mtu kitu chochote nje ya kazi. Mimi ni muumini mkubwa wa Live as you wish.
Daaah mkuu namuachaje sasa..Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amelaani aina ya watu kumi wanaohusika na pombe amesema: “
Mwenye kugema pombe,
mwenye kutaka afanyiwe,
mwenye kunywa,
na mwenye kubeba,
mwenye kubebewa,
mwenye kunywesha,
mwenye kuuza,
mwenye kula thamani yake,
mwenye kununua,
na mwenye kununuliwa.”
[At-Tirmidhiy na Ibn Maajah].
umekua teja wa mapenzi sio gentleman, na umezamishwa kwenye ulevi right?Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Daaah at least umenipa darasa huru mkuu..Kwakuwa unampenda sana nawe anza/endelea kunywa naye sana tu kadri apendavyo wakati huo ukijitahidi kupambana utoboe zaidi na awe pregnant, from there slowly anza kumshawishi muache pombe wote.
Pole kwa kuchelewa kujua.Wee jamaa una mambo hovyo kumbe..
Madam seriously ndo ushauri wako umeishia hapaKunywa tu si unampenda