Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Uwezi muachanisha na kitu uliyokuta anaitumia hata kabla hamjafahamiana, kwake pombe ni muhimu kukuzidi na haijawai kumsaliti. Wewe ndio unapaswa uachane nae kama hupendi
Wewe half American jaribu kutumia lugha nzuri unasemaje pombe muhimu kuliko mimi..
Hv wewe ukiambiwa hvo utajiskiaje mkuu
 
Tayari ushakula mjani wewe

Yao yao
Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amelaani aina ya watu kumi wanaohusika na pombe amesema: “
Mwenye kugema pombe,
mwenye kutaka afanyiwe,
mwenye kunywa,
na mwenye kubeba,
mwenye kubebewa,
mwenye kunywesha,
mwenye kuuza,
mwenye kula thamani yake,
mwenye kununua,
na mwenye kununuliwa.”
[At-Tirmidhiy na Ibn Maajah].
 
Bahati mbaya sijawahi kuwa mshauri wa vijana, wala kushauri mtu kitu chochote nje ya kazi. Mimi ni muumini mkubwa wa Live as you wish.
Wee jamaa una mambo hovyo kumbe..
Hvi kweli unaona mtu anajiingiza katika madawa unamuacha et kwa slogan yako hyo live as you wosh
 
Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amelaani aina ya watu kumi wanaohusika na pombe amesema: “
Mwenye kugema pombe,
mwenye kutaka afanyiwe,
mwenye kunywa,
na mwenye kubeba,
mwenye kubebewa,
mwenye kunywesha,
mwenye kuuza,
mwenye kula thamani yake,
mwenye kununua,
na mwenye kununuliwa.”
[At-Tirmidhiy na Ibn Maajah].
Daaah mkuu namuachaje sasa..
Huu nao mtihani mzito
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
umekua teja wa mapenzi sio gentleman, na umezamishwa kwenye ulevi right?

dah! pole sana gentleman? hiyo ndiyo hali ya dunia, usisikitike sana.

mna shughuli za kufanya kweli, mathalani biashara? kama hamna, basi ni muhimu mkawa na kitu cha kufanya, na mfanye kwa bidii sana, ili angalau mkose muda wa kwenda kwenye kufakamia mapombe.

Muhimu zaidi,
inafaa umpelekee moto walau afululize kuzaa watoto mathalani wawili waliofuatana karibu karibu, na hapo utakua umemuwajibisha kwa faida na atakua na muda mchache sana wa kwenda kufakamia mapombe badala yake malezi ya watoto yatamkeep busy,

Akileta kimbelembele unamuongeza cha tatu chap kwa haraka na itapendeza zaidi?

au, je, unapitia changamoto ya nguvu za kijinsia na hiyo shughuli imekua ngumu ?🐒
 
Back
Top Bottom