umekua teja wa mapenzi sio gentleman, na umezamishwa kwenye ulevi right?
dah! pole sana gentleman? hiyo ndiyo hali ya dunia, usisikitike sana.
mna shughuli za kufanya kweli, mathalani biashara? kama hamna, basi ni muhimu mkawa na kitu cha kufanya, na mfanye kwa bidii sana, ili angalau mkose muda wa kwenda kwenye kufakamia mapombe.
Muhimu zaidi,
inafaa umpelekee moto walau afululize kuzaa watoto mathalani wawili waliofuatana karibu karibu, na hapo utakua umemuwajibisha kwa faida na atakua na muda mchache sana wa kwenda kufakamia mapombe badala yake malezi ya watoto yatamkeep busy,
Akileta kimbelembele unamuongeza cha tatu chap kwa haraka na itapendeza zaidi?
au, je, unapitia changamoto ya nguvu za kijinsia na hiyo shughuli imekua ngumu ?🐒