Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Broo apo unakoelekea utaikumbuka hii post.

Fanya hv... kaa nae karib sana, ujue n kwann anakunywa pombe. "Hapo utaelewa kwann anakwambia hujui chochote kumhusu yy".

Ukishajua tatzo, angalia namna ya kulisolve kama kuna uwezekano. Mtaftie hata wanasaokolojia ikiwa ana hali ya kukumbuka mambo mabaya au mateso alopitia kipind cha nyuma.

Suala la ww kuanza kunywa ili uendane nae n kujiingiza kwenye moto ambao hauzimwi kwa namna yyte.

Angalia namna ya kumsaidia kabla na ww haujawa mlevi.

Hii hali na mimi imewah kunikuta kwa manzi flan nlompenda bt yy pombe kwake n kama chakula. Nilijiingiza kunywa ili nimridhishe lkn nlipotea pakubwa hadi nikampoteza huyo manzi. Aliniacha na ulevi wa kutupwa, uchumi ukayumba, nikakosana na jamii na nikaacha hata kwenda kanisani.

Baadae nilitengana nae nikajitafuta nikarud kwenye mstari. So akili n kichwan kwako.
 
Basi wale alpha males wa mchongo kina Natafuta Ajira and co wanachukia sana wakiona mwanaume mwenzao anampenda mwanamke kiasi hiki pamoja na madhaifu yake hivyo hukimbilia kumuita simp na ujinga mwingine, mkija humu mnavyojifanya kuwachukia wanawake na kuwaita majina ya ajabu sababu ya madhaifu yao utasema mmeoa malaika kumbe huko mliko mna magalasa yenu mmeyafuga na mnayapenda balaa, halafu sisi tukisema ukweli humu kwamba wanaume kamwe hawawezi kuacha kuwapenda wanawake hata wawe na madhaifu gani mnatuita majina ya ajabu na kudhani tunaandika matamanio yetu ilihali tunaandika uhalisia
 
Broo apo unakoelekea utaikumbuka hii post.

Fanya hv... kaa nae karib sana, ujue n kwann anakunywa pombe. "Hapo utaelewa kwann anakwambia hujui chochote kumhusu yy".

Ukishajua tatzo, angalia namna ya kulisolve kama kuna uwezekano. Mtaftie hata wanasaokolojia ikiwa ana hali ya kukumbuka mambo mabaya au mateso alopitia kipind cha nyuma.

Suala la ww kuanza kunywa ili uendane nae n kujiingiza kwenye moto ambao hauzimwi kwa namna yyte.

Angalia namna ya kumsaidia kabla na ww haujawa mlevi.

Hii hali na mimi imewah kunikuta kwa manzi flan nlompenda bt yy pombe kwake n kama chakula. Nilijiingiza kunywa ili nimridhishe lkn nlipotea pakubwa hadi nikampoteza huyo manzi. Aliniacha na ulevi wa kutupwa, uchumi ukayumba, nikakosana na jamii na nikaacha hata kwenda kanisani.

Baadae nilitengana nae nikajitafuta nikarud kwenye mstari. So akili n kichwan kwako.
Mkuu unajua kuna kitu umeongea hapo kuhusu wa saikolojia nimekielewa sana.

Juzi hapo nilimwambia kwann unakunywa akawa anasema mambo yake yapo poa kwanini asinywe..

Ananishawishi sana ninywe ila nakwepa..
Mara nyingi akiniita kwenda kwake huwa ni mapombe tuu sasa mi hii jau kama leo kaniita ila nimezingua...
Sasa hapa nitegemee badae aje kunibeba kwa nguvu tu
 
Basi wale alpha males wa mchongo kina Natafuta Ajira and co wanachukia sana wakiona mwanaume mwenzao anampenda mwanamke kiasi hiki pamoja na madhaifu yake hivyo hukimbilia kumuita simp na ujinga mwingine, mkija humu mnavyojifanya kuwachukia wanawake na kuwaita majina ya ajabu sababu ya madhaifu yao utasema mmeoa malaika kumbe huko mliko mna magalasa yenu mmeyafuga na mnayapenda balaa, halafu sisi tukisema ukweli humu kwamba wanaume kamwe hawawezi kuacha kuwapenda wanawake hata wawe na madhaifu gani mnatuita majina ya ajabu na kudhani tunaandika matamanio yetu ilihali sisi tunaandika uhalisia
Jadda nimependa kweli..
Ila sujui nafanyaje maana mwanzoni aliwahi nambia kuwa mimi naweza kuwa chachu ya maendeleo yake maana nimeweza ku contol mambo mengine kama starrh za kwenda ma club huko

Sasa bado hili la pombe mkuu..
Nampenda sana na ananipenda snaa ila pombe inaweza kuwa barrier katika penzi letu
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Mkuu pombe achana nayo... Na hauna sababu ya msingi ya wewe kuanza kutumia pombe.

Kwa mazingira ambavyo huwa yanakua kwa mwanamke akishakua amelewa, aisee nakuonea huruma.

Nilishawahi kukaa karibu na kakijibaa fulani aisee watu wakilewa wanakuaga viumbe wengine, na wahovy kabisa sijapata kuona, hasa wanawake naonaga kama takataka flani hivi najisikiaga vibaya kweli nilikuaga nashuhudia matendo na kauli/kinywa kichafu tokea hapo nikianaga mwanamke anakunywa pombe huwa namchukulia ni wale wale tu.

Sasa mkuu kama humuachi na yeye haachi pombe basi mwambie ajitahidi anywe pombe kistaarabu... Tofauti na hapo ni majanga.
 
Mkuu pombe achana nayo... Na hauna sababu ya msingi ya wewe kuanza kutumia pombe.

Kwa mazingira ambavyo huwa yanakua kwa mwanamke akishakua amelewa, aisee nakuonea huruma.

Nilishawahi kukaa karibu na kakijibaa fulani aisee watu wakilewa wanakuaga viumbe wengine, na wahovy kabisa sijapata kuona, hasa wanawake naonaga kama takataka flani hivi najisikiaga vibaya kweli nilikuaga nashuhudia matendo na kauli/kinywa kichafu tokea hapo nikianaga mwanamke anakunywa pombe huwa namchukulia ni wale wale tu.

Sasa mkuu kama humuachi na yeye haachi pombe basi mwambie ajitahidi anywe pombe kistaarabu... Tofauti na hapo ni majanga.
Mkuu kuna kitu umeongea hapo nimezingatia sana..

Mwanamke akishalewa anakua ana mambo ya hovyo sana mkuu.
Assume tuu wanasema pombe zinashuka chini daah hapo ndo nachoka kabisa an .

Najua mda wowote ule analiwa but is not matter je ni vipi naweza mdhibiti ili asinywe kabisa mkuu maana weekend hizi daaah anawaka kweli
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Sasa mzee mwenzangu si umejuana nae akiwa na tabia yake iyo ya ulevi.
 
Basi wale alpha males wa mchongo kina Natafuta Ajira and co wanachukia sana wakiona mwanaume mwenzao anampenda mwanamke kiasi hiki pamoja na madhaifu yake hivyo hukimbilia kumuita simp na ujinga mwingine, mkija humu mnavyojifanya kuwachukia wanawake na kuwaita majina ya ajabu sababu ya madhaifu yao utasema mmeoa malaika kumbe huko mliko mna magalasa yenu mmeyafuga na mnayapenda balaa, halafu sisi tukisema ukweli humu kwamba wanaume kamwe hawawezi kuacha kuwapenda wanawake hata wawe na madhaifu gani mnatuita majina ya ajabu na kudhani tunaandika matamanio yetu ilihali tunaandika uhalisia
Kwaiyo wewe hauoni kama ulevi wa mwanamke ni tatizo hapo, ila tatizo ni mwanaume kukataa kukubaliana na tabia ya ulevi ya mwanamke.
 
Punguza kutoka nae akianzisha habari za kutoka jifanyr una mishe zingine au mwambie umemmiss mkae mtulie wawili
Ikiwezekana jifanye unamahaba kweli kweli 😂😂ikiwezekana hata chakula muomne mpike pamoja wekeni movie mtafutie vinywaji laini ambavyo havileweshi sana akianza kuenjoy hiyo kampani anaweza kubadilika
Sina experience km inafanya kazi hii njia😃
 
Back
Top Bottom