Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Ukipenda boga penda na ua lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewai muacha huyu mnywaji ,nikatafuta church girl,ila marejesho na vikoba ni daily,huyu mnywaji hana Cha marejesho Wala vikoba anapiga mishe zake tu.Duuh wee mkuu umenena kweli kabisa kuhusu church girl
Wee member jauBasi endelea kuumia
Kwahyo mi nileweMwanamke mlevi ni chakula kirahisi sana kwa wanaume walevi
Majani machunguUkipenda boga penda na ua lake
Tatizo walevu wqnakuaga chakula ya wenzao daaahNimewai muacha huyu mnywaji ,nikatafuta church girl,ila marejesho na vikoba ni daily,huyu mnywaji hana Cha marejesho Wala vikoba anapiga mishe zake tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizi id za JF huwa sometime zina akisi uhalisia wa mtu ama hali yake ya kiakili. Poor Brain
Sawa,Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Mtu kama Malaya ni Malaya tu hata awe mchungaji...ni hobby tu.Tatizo walevu wqnakuaga chakula ya wenzao daaah
Sema blood ujue nini hii ishu imekua complex...Mtu kama Malaya ni Malaya tu hata awe mchungaji...ni hobby tu.
Upo sahihi blood, ni ngumu...hii hata ndoa au mahusiano ambayo wanamiliki vitu vingi pamoja,including watoto,unakuta mahusiano yanawaka moto lakini wanadai wanavumiliana mwisho wa siku ni kufa pressure tu.Amani kitu Cha msingi Sana kuliko mali.Sema blood ujue nini hii ishu imekua complex...
Hv unamuachaje mtu ambaye tayari ka invest katika biashara yako mpo kama share hv
Mfungwa huru wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio mfungwa sis.
Acha maneno yako
Yaaah sasa hapa nawaza nafanyaje mkuu...Upo sahihi blood, ni ngumu...hii hata ndoa au mahusiano ambayo wanamiliki vitu vingi pamoja,including watoto,unakuta mahusiano yanawaka moto lakini wanadai wanavumiliana mwisho wa siku ni kufa pressure tu.Amani kitu Cha msingi Sana kuliko mali.
Alafu mi na wewe nani mfungwa..Mfungwa huru wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeee
Naishi kwa kujificha? Wapiii?Alafu mi na wewe nani mfungwa..
Wee assume unavovyo ishi kwa kujificha jificha hvo assume tuu
Mkuu Mimi kabda ya huyu, nilikua na ndoa,watoto wawili ,nyumba tuliyokuwapo na n.k ...mambo yalivokua sio...Kuna siku nilichukua vyeti tu vyangu na nguo chache nikaondoka... watoto wakiwa katika umri wa kukaa na mama,thus y niliacha Kila kitu na hata gari ili watoto wasi feel vibaya...na nimevipata Tena hivo vitu.Yaaah sasa hapa nawaza nafanyaje mkuu...
Wee imagine anaweza kuja ofisin akaleta varangati na hakuna wa kumfanya kitu ni ana mwili mkuu we acha tuu
Kvp mkuu,usikubali kichwa kidogo kiendeshe kikubwa utaumiaWee member jau
Hata wewe hapo mkuu kuna sehemu unateswa.Nashauri uendelee kuteswa hadi akili ikae sawa 😹