Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naishi kwa kujificha? Wapiii?
Mtaani mbna kila time naswampaa kupiga story na wadau etc.

Wee mfungwaa huru unanyweshwa pombe na huku hutakii.
Woiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaaha wapi wewe mzembe tuu
 
Mkuu Mimi kabda ya huyu, nilikua na ndoa,watoto wawili ,nyumba tuliyokuwapo na n.k ...mambo yalivokua sio...Kuna siku nilichukua vyeti tu vyangu na nguo chache nikaondoka... watoto wakiwa katika umri wa kukaa na mama,thus y niliacha Kila kitu na hata gari ili watoto wasi feel vibaya...na nimevipata Tena hivo vitu.
Mkuu mbona ulikua na hatarrr ujue...
Hapa mimi najipanga nihame mtaa kabisa maana anapajua napo kaa aiseeee
 
Hata wewe hapo mkuu kuna sehemu unateswa.

Lakini kawehu ka kupenda penda kakishapamba kichwani, utakuta mtu anajiblock kuwaza nje ya box, utasikia anajiuliza bila kujijibu... 'Sasa mimi nitafanyaje....

Hapo mtu hachomoki ashanasa!

Tusidanganyane kusema kuna shujaa ama bingwa wa mapenzi, hayupo.

Anayesema kuwa yeye ni bingwa, kama Mungu hatawahi kumuua, ipo siku atakula matapishi yake.
Kuna umri wa kuteswa na mapenzi bro, mi nshauvuka nipo kwenye umri wa kuteswa na pesa.
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
That absolutely without a doubt you are brain is vere vere poor to make even poor deshisheni....

Unaniangushaa mkuu lala mbele kwani kashika mpini nini 🤣🤣🤣
 
Kuna umri wa kuteswa na mapenzi bro, mi nshauvuka nipo kwenye umri wa kuteswa na pesa.
Jambo ninalolishukuru mwenzako hayo mambo nishayapitia pia, ila mambo hayo huwaga kama jando, kama haujatahiriwa ujanani, waweza tahiriwa uzeeni.

Sasa mkuu kiri kama haya ushayapitia na kama bado usijivune bali yachukulie tahadhari kubwa sana, maana atanayeweza kukuliza aweza kuwa messanger wa ofisini kwako, anayeonekana kwa watu ni dhohari kwa haiba.

Mi nilimaliza zizi la ng'ombe wa babu nikiwa mshenga wa kuuza na kupeleka hela za hongo kwa kasichana kake, ni mzee over 70!

Kutafuta pesa ni jambo jingine na mapenzi ni kitu kingine, ndonatetea hoja hivyo.
 
Jambo ninalolishukuru mwenzako hayo mambo nishayapitia pia, ila mambo hayo huwaga kama jando, kama haujatahiriwa ujanani, waweza tahiriwa uzeeni.

Sasa mkuu kiri kama haya ushayapitia na kama bado usijivune bali yachukulie tahadhari kubwa sana, maana atanayeweza kukuliza aweza kuwa messanger wa ofisini kwako, anayeonekana kwa watu ni dhohari kwa haiba.

Mi nilimaliza zizi la ng'ombe wa babu nikiwa mshenga wa kuuza na kupeleka hela za hongo kwa kasichana kake, ni mzee over 70!

Kutafuta pesa ni jambo jingine na mapenzi ni kitu kingine, ndonatetea hoja hivyo.
Kwamba hadi nakaribia kustaafu nateseka, dah nitamkabidhi pensheni yangu yote 🤔
 
That absolutely without a doubt you are brain is vere vere poor to make even poor deshisheni....

Unaniangushaa mkuu lala mbele kwani kashika mpini nini 🤣🤣🤣
Kuna vitu tumechanga...
Yeye ndo kanunua camera zangu hapa ujue...
Nikisema nisepe akisepa na vtu vyake je how you is me ungefanyaje you will me
 
Wala usimkatie tamaa maana muda ukifika ataacha mwenyewe kwani yeye hatakuwa wakwanza kuacha. Bali wakati wake bado atakuja kuelewa unamaanisha nini kwake.
 
Back
Top Bottom