Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.
 
Ukifikia uamuzi wa kuagiza "endapo wataalamu watakushauri hivyo humu jukwaani", basi tumia PayPal kwenye kulipia, maana hawa jamaa wa Alibaba miongoni mwao wapo wezi wengi sana!

Sijaona option ya paypal huko Alibaba
 
Usipopata msaada karibu boss,nipigie gharama yangu ni 15% ya manunuzi husika! Maelezo zaidi nadhani tukionana uso kwa uso,mm nipo tegeta
 
mtandao gain? Ali baba au Ali express? nikusaidie
 
Kama hujaona hiyo option ya PayPal kwa huyo unayetaka kununua kwake, basi mtilie mashaka! Maana wapo wengi tu wanaotoa option ya Paypal

Si kuwa akiwa ana PayPal Hatoiba....La msingi anunue Aliexpress ambako unaweza kumjua TOP RATED SELLER na kuangalia Feedback za nyuma za hiyo items kwa walionunua kabla yako

na unanunua na CREDIT CARD tu bila WASIWASI wowote wala huibiwi.....nimenunua huko Bunch of items LA msingi ujue RULES za kuwa safe
 
Si kuwa akiwa ana PayPal Hatoiba....La msingi anunue Aliexpress ambako unaweza kumjua TOP RATED SELLER na kuangalia Feedback za nyuma za hiyo items kwa walionunua kabla yako

na unanunua na CREDIT CARD tu bila WASIWASI wowote wala huibiwi.....nimenunua huko Bunch of items LA msingi ujue RULES za kuwa safe

-Mshikaji anaongelea Alibaba na siyo Aliexpress

-Nimemshauri atumie PayPal kwa usalama wa fedha zake! Naongea haya kwa uzoefu, maana hata mimi nimeshanunua mara nyingi sana kwa njia tofauti na PayPal na kuna mara nyingi nimepata items zangu, lakini pia nishalizwa! Na siyo mimi tu, nenda ubalozi wa China hapa nchini, wana kitengo cha biashara mbali kidogo na ubalozi wao....hapo ndipo utaonana na watanzania kibao wanaokuja kwa malalamiko ya kuibiwa fedha zao na baadhi ya wezi wanaojitangaza huko alibaba!

-Kitengo chao cha biashara, kinashauri pia, kabla ya kufanya malipo ni vyema uchukue profoma au invoice yenyewe, uwapelekee ili wa verify kuwa kama supplier wako ni genuine ama la!
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.

Ninyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.
 
-Mshikaji anaongelea Alibaba na siyo Aliexpress

-Nimemshauri atumie PayPal kwa usalama wa fedha zake! Naongea haya kwa uzoefu, maana hata mimi nimeshanunua mara nyingi sana kwa njia tofauti na PayPal na kuna mara nyingi nimepata items zangu, lakini pia nishalizwa! Na siyo mimi tu, nenda ubalozi wa China hapa nchini, wana kitengo cha biashara mbali kidogo na ubalozi wao....hapo ndipo utaonana na watanzania kibao wanaokuja kwa malalamiko ya kuibiwa fedha zao na baadhi ya wezi wanaojitangaza huko alibaba!

-Kitengo chao cha biashara, kinashauri pia, kabla ya kufanya malipo ni vyema uchukue profoma au invoice yenyewe, uwapelekee ili wa verify kuwa kama supplier wako ni genuine ama la!

ni balaa
 
-Mshikaji anaongelea Alibaba na siyo Aliexpress

-Nimemshauri atumie PayPal kwa usalama wa fedha zake! Naongea haya kwa uzoefu, maana hata mimi nimeshanunua mara nyingi sana kwa njia tofauti na PayPal na kuna mara nyingi nimepata items zangu, lakini pia nishalizwa! Na siyo mimi tu, nenda ubalozi wa China hapa nchini, wana kitengo cha biashara mbali kidogo na ubalozi wao....hapo ndipo utaonana na watanzania kibao wanaokuja kwa malalamiko ya kuibiwa fedha zao na baadhi ya wezi wanaojitangaza huko alibaba!

-Kitengo chao cha biashara, kinashauri pia, kabla ya kufanya malipo ni vyema uchukue profoma au invoice yenyewe, uwapelekee ili wa verify kuwa kama supplier wako ni genuine ama la!

Aiseee. Asante kwa kunifumbua macho kwenye hilo la mwisho.
 
Acha kubweka bila substance.

Najua ninachoongea.

Kama huwezi kusaidia kaa kimya.

Mkuu jaribu ali express lakini angalia Feedback score za muuzaji na Recent feedback za item hiyo

kizuri kingine Aliexpress SELLER hapewi pesa mpaka uwe umejilidhisha kuwa item iko fresh na iko sawa ndo UNA COMFIRM kimlipa

hakuna paypal Aliexpress lakini Huduma ya Escrow iko Very safe
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.

Mkuu nyuki wa Tanzania ukiwaletea mizinga ya China hawataingia! Hivyo ili usijepata hasara wewe sema wataka mizinga mingapi,size gani and your offer then nakupatia mizinga bora inayoendana na mazingira yetu.
 
Mzinga unaendana na saiz ya nyuki. Unaweza leta mizinga nyuki wakashindwa kuingia na ukapata hasara. Kuna jamaa kaagiza mizinga kama 100 kaiweka misungwi na hakuna nyuki hata mmoja kaingia kwa sababu ya size.
 
Mkuu nyuki wa Tanzania ukiwaletea mizinga ya China hawataingia! Hivyo ili usijepata hasara wewe sema wataka mizinga mingapi,size gani and your offer then nakupatia mizinga bora inayoendana na mazingira yetu.

Mizinga mingi inayouzwa Tanzania inatoka hukohuko China.
Wakija wanatupiga bei ya juu sana.
Mfano nimeona Langstroth beehive Alibaba unauzwa $35 ila hapa bongo mtu anakuambia anakuuzia 220,000.
Let say nataka kufungua bee farm ya mizinga 500-1000. Unadhani nitakuwa nimesave kiasi gani kwa kuagiza mwenyewe?
 
Back
Top Bottom