Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Mzinga unaendana na saiz ya nyuki. Unaweza leta mizinga nyuki wakashindwa kuingia na ukapata hasara. Kuna jamaa kaagiza mizinga kama 100 kaiweka misungwi na hakuna nyuki hata mmoja kaingia kwa sababu ya size.

Hapo pia umenisaidia.
Shukrani sana.
 
Mizinga mingi inayouzwa Tanzania inatoka hukohuko China.
Wakija wanatupiga bei ya juu sana.
Mfano nimeona Langstroth beehive Alibaba unauzwa $35 ila hapa bongo mtu anakuambia anakuuzia 220,000.
Let say nataka kufungua bee farm ya mizinga 500-1000. Unadhani nitakuwa nimesave kiasi gani kwa kuagiza mwenyewe?
Mkuu kama uko serious waweza pata mzinga mmoja kwa 90,000 - 100,000 hapa hapa nchini, if interested ni PM.
 
Mkuu fanya kuleta feedback kama hiyo mizinga inafaa kufuga kwa kisasa maana watu wengine tunajifunzia hapa hapa

Shukran
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.
Ningeshauri uwaone watu Wa Customs kwanza before placing an order ili ujue kama wanatoza ushuru na ni percentage ngapi..maana KUNA BAADHI YA VITU ushuru huzidi hata FOB price.That's my experience. All the best.
 
Ningeshauri uwaone watu Wa Customs kwanza before placing an order ili ujue kama wanatoza ushuru na ni percentage ngapi..maana KUNA BAADHI YA VITU ushuru huzidi hata FOB price.That's my experience. All the best.

Niliwasiliana nao wakasema bidhaa za kilimo huwa hazina kodi.
 
Mimi nimeanza ufugaji nyuki nimetengezewa mizinga na mafundi seremala @sh.30,000/-.
Kila mzinga unaweza kubeba 8Liter.
 
Mkuu nyuki wa Tanzania ukiwaletea mizinga ya China hawataingia! Hivyo ili usijepata hasara wewe sema wataka mizinga mingapi,size gani and your offer then nakupatia mizinga bora inayoendana na mazingira yetu.

Huyu atakuwa mwanaCCM si bure, tunajaribu kumuelewesha hapa namna ya kusaidie shilingi yetu isiendelee kuporomoka, anajibu kwa jazba! CCM must go this time!
 
Acha kubweka bila substance.

Najua ninachoongea.

Kama huwezi kusaidia kaa kimya.
Serikali ya CCM imeharibu sana akili zenu, fikiria tu watu wanaagiza nguzo za umeme afrika ya kusini.
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.

Mkuu tuwasiliane kwa mahitaji ya mizinga bora kabisa, na yakisasa! Bei zetu ni Tshs 100,000/= tu kwa kila mzinga na utaletewa mzigo POPOTE ULIPO!

Angalia picha zake hizi; mizinga ya nyuki.jpg View attachment 289373 View attachment 289374 View attachment 289375 banda-4.jpg

Karibu.
0784 324 102 / 0755 732 981 / 0784 667 480 / 0763 424 714
 
Vizur... Labda kuna sehemu wamaetumia mizinga hiyo niweze tembelea kuona.

Unaweza kufika mkoani Tabora, katika kijiji cha Imalamakoye (wilayani Urambo) na vijiji vya Usinge, Shela na Luganjo (Wilayani Kaliua), ukutane na wateja wetu ambao tumewafanyia kazi hizi.

Karibu mkuu!
 
Back
Top Bottom