Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Mkuu Bavaria, naomba unisaidie mawasiliano ya hao wakenya. Nahitaji kupata mizinga aina ya langstrong Kwa ajili ya ufugaji nyuki kwenye shamba langu jipya.

Kumradhi mkuu, nimechelewa kuona hili ombi lako.

Mawasiliano ni haya;

Green Acres House,
Ali Hassani Mwinyi Road,Victoria Area,
P.O. Box 5603, Dar es Salaam,Tanzania Tanzania

con_tel.png
+255 756 664 369/ +255 737 218 778
 
Ninyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.
Kama huna uwezo wa kununua siyo lazima uchangie hii ni global market hiyo biashara na uzalendo huwa haviendani watu wanataka mafanikio we umekuja kujaza mipasho hapa hela inashukaje hapo kwa mfano
 
Jaman mm nipo interested na shughuli ya utegaji mizinga,,, msada tafadhal mana sijui chochote kuhusu hii kazi,,,

Je inachukua mda gan kuvuna asali bada ya kutega mizinga na pia kuna aina ngap tofaut za mizinga?? yan hapa namanisha mizinga inayokuwa tayar kuvuna asali kwa muda tofaut tofaut!!
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.
Uingize na nyuki wa kichina kabisa
 
Mkuu nyuki wa Tanzania ukiwaletea mizinga ya China hawataingia! Hivyo ili usijepata hasara wewe sema wataka mizinga mingapi,size gani and your offer then nakupatia mizinga bora inayoendana na mazingira yetu.
MM NATAKA MIZINGA ILA SIJAJUA SIZE ZAKE NA PIA UFUGAJI WAKE WAWEZA NISAIDIA KUNIPA MWONGOZO KIDOGO KWA HILI
 
Mi mihambo,ebu elewa anacho hitaji mleta Uzi.labda nikufafanulie kuna mizinga ya kisasa ya aina kuu mbili ambayo ni top bar na commercial bee hive.hii aina ya commercial ndo inayotakiwa tuwe nayo ili tuzalishe kifaida.
Huyu kahitaji mizinga aina ya langstroths hii ni commercial hive nyuki wakiingia kama ni msimu WA maua baadavya siku, tisini mzinga umejaa na utakuwa unavuna kila baada ya wiki tatu.
Sasa wewe mihambo picha ya mizinga yako ni aina ya top bar,hii sana utavuna Mara moja kwa mwaka.hiyo bei ya laki moja unayouza ni kubwa ukilinganisha na mzinga wenyewe.
Langstroths bee hive ni aina ya mzinga bora WA kisasa ambao kwa hapa bongo bei ni kubwa bora uagize China itafika hapa kwa gharama nafuu kuliko utengeneze hapa.
Mfano langstroth hive two layer kwa suchuo cha sua ni 180000 na Tawiri ni zaidi ya hapo.wakati China mzinga huo huo kwa China unaununua 50000 za Tanzania tena umetengenezwa kwa ubora zaidi.
Kuhusu saizi ya nyuki ni tofauti na wahuku kwetu.kuna jamaa yangu aliagiza tukichofanya tuliwapa vipimo vya kihunzi cha nyuki wetu ambacho ni 32mm na bee spance ni 8mmm.wakatutengenezea kwa vipimo hivyo.
Mi ni mdau WA ufugaji nyuki tuache lobgolongo nakushauri kabisa agiza mizinga China wape vipimo vya nyuki WA kwetu huku watakutengenezea.utanunua utasafirisha ,utaitoa bandarini mpaka shambani bado utaokoa pesa nyingi kuliko kununua bongo.
Nakushauri top bar achana Nayo nunua .commercial hive

Mkuu inaonekana Uko vizuri sana,tafadhali msaada wapi naweza kupata vifaa vya urinaji na ukamuaji kama manual honey extractor.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
-Mshikaji anaongelea Alibaba na siyo Aliexpress

-Nimemshauri atumie PayPal kwa usalama wa fedha zake! Naongea haya kwa uzoefu, maana hata mimi nimeshanunua mara nyingi sana kwa njia tofauti na PayPal na kuna mara nyingi nimepata items zangu, lakini pia nishalizwa! Na siyo mimi tu, nenda ubalozi wa China hapa nchini, wana kitengo cha biashara mbali kidogo na ubalozi wao....hapo ndipo utaonana na watanzania kibao wanaokuja kwa malalamiko ya kuibiwa fedha zao na baadhi ya wezi wanaojitangaza huko alibaba!

-Kitengo chao cha biashara, kinashauri pia, kabla ya kufanya malipo ni vyema uchukue profoma au invoice yenyewe, uwapelekee ili wa verify kuwa kama supplier wako ni genuine ama la!
Sorry Mkuu,
Kwani Muuzaji feki hawezi kumiliki Paypal
 
Sorry Mkuu,
Kwani Muuzaji feki hawezi kumiliki Paypal

Sina hakika sana, ila nicacho fahamu ni kuwa hawezi pokea malipo hadi awathibitishie kuwe kweli ametuma mzgo kwako!
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.

NI WAZO ZURI ULILO NALO.
KUPATA MAJIBU SAHIHI YA MASWALI YAKO FANYA YAFUATAYO:

1: KUHUSU KODI - NENDA TRA WATAKUPA MAJIBU SAHIHI

2. UBORA - WASILIANA NA ALIBABA, PIA TAFUTA WATU WA TBS
 
*TANGAZO LA MAFUNZO*
[emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219]


Shirika la *PRA - Tanzania* linawaletea Watanzania wote Mafunzo ya Ufugaji wa Nyuki Kibiashara kwa Vitendo.

Mafunzo haya yatafanyikia *Usa River (Leganga), Arusha, Kwanzia Tar.11/11/2018 - 23/11/2018.*

*Gharama ni 100,000/=*

Utapewa;
*1. Chakula cha mchana kila siku.*
*2. Vitabu vya Mafunzo.*
*3. Usafiri kwenda Shambani.*
*4. Cheti mwisho wa mafunzo.*

BAADHI YA MADA NI;
[emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219]
1. Kutengeneza mizinga ya nyuki wakubwa na nyuki wadogo.
2. Kutengeneza kitenga malkia katika mizinga ya kisasa.
3. Kuzalisha makundi ya nyuki.
4. Kugawa au kuonganisha makundi.
5. Kuainisha na Kusimamia Mashamba ya Nyuki
6. Kuhamisha Makundi ya nyuki.
7. Kuongeza uzalishaji wa mazao ya nyuki.
8. Mazao saba ya nyuki (Asali, Nta, Chavua, Gundi, Sumu ya nyuki, Maziwa ya nyuki, supu ya nyuki)
9. Kuvuna,Kuchakata, kupaki na Masoko ya Mazao ya Nyuki.
10. Kuandika miradi ya ufugaji wa nyuki na Upatikanaji wa Ruzuku/Ufadhili.
12. Ufugaji nyuki kwaajili ya utalii (Api-tourism)


MADA ZINGINE NI;
[emoji518][emoji518][emoji518][emoji518][emoji518][emoji518][emoji518][emoji518][emoji518]
*Kutengeneza Mafuta ya kujipaka kwa kutumia nta, Kutengeneza Viholda na Mishumaa ya nta, Kufanya masaji kwa kutumia asali, Jinsi ya kuchakata ka kupaki asali, chavua, maziwa ya nyuki kwaajili ya biashara, kutengeneza Tiba za Magonjwa mbalimbali kama vile; Allergies, Kikohozi, Athma, Nguvu za Kiume, Kiharusi, Ukosefu wa Choo/Choo kigumu, tumbo, uzee, n.k...*


Jisajili kwa Mawasiliano yafuatayo;
Simu: 0753970565
Barua pepe: pratanzania@gmail.com
Tovuti: www.pratanzania.org
Facebook: www.facebook.com/PRATanzania
Instagram: www.instagram.com/pra_tanzania
[emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219]

Usipitwe na Fursa Hii;
Mwisho wa Usajili ni Tarehe *31/10/2018*, Wahi Nafasi mi Chache.
20181001_103206.jpeg
Ester20180923_141713.jpeg
 
Mizinga mingi inayouzwa Tanzania inatoka hukohuko China.
Wakija wanatupiga bei ya juu sana.
Mfano nimeona Langstroth beehive Alibaba unauzwa $35 ila hapa bongo mtu anakuambia anakuuzia 220,000.
Let say nataka kufungua bee farm ya mizinga 500-1000. Unadhani nitakuwa nimesave kiasi gani kwa kuagiza mwenyewe?
Naomba tuwasiliane 0762276275
jonasjovin3@gmail.com
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Naweza kupata ekari 60
 
Si kuwa akiwa ana PayPal Hatoiba....La msingi anunue Aliexpress ambako unaweza kumjua TOP RATED SELLER na kuangalia Feedback za nyuma za hiyo items kwa walionunua kabla yako

na unanunua na CREDIT CARD tu bila WASIWASI wowote wala huibiwi.....nimenunua huko Bunch of items LA msingi ujue RULES za kuwa safe
what are the safe rules mkuu?
 
Ninyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.
Mizinga hiyo inaweza kutengenezwa hapa Tanzania, ila tatizo ninaloliona ni upatiakanaji wa mbao bora kutoka katika miti iliyokomaa. Misitu yenye miti ya aina hii yawezekana imewekwa kama hifadhi. Ukipata mbao utaalamu upo
 
Back
Top Bottom