Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

Wadau mmeelezea vizur kuhusu suala la kuimport na aina za mizinga na uwezo wake...nimekuwa interested na hii biashara ya asali nilikuwa nahitaj kujua garama za kuanzisha hii biashara pia na changamoto zake na kuhusu masoko(bei)
 
... Kweli... Tuwe wazalendo angalau kwa haya tunayoyaweza.
Ingekuwa vizuri huo uzalendo ungeanzia kwa wauzaji kwanza sio kwa wanunuaji pekee. Mzinga china amekwambia ni 50,000 wakati tanzania ni 220,000. Yani bei ya mzinga mmoja tz unapata minne china
 
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.
vipi mkuu ulifanikiwa??? naomba utupatie feedback mkuu
 
Mi mihambo,ebu elewa anacho hitaji mleta Uzi.labda nikufafanulie kuna mizinga ya kisasa ya aina kuu mbili ambayo ni top bar na commercial bee hive.hii aina ya commercial ndo inayotakiwa tuwe nayo ili tuzalishe kifaida.
Huyu kahitaji mizinga aina ya langstroths hii ni commercial hive nyuki wakiingia kama ni msimu WA maua baadavya siku, tisini mzinga umejaa na utakuwa unavuna kila baada ya wiki tatu.
Sasa wewe mihambo picha ya mizinga yako ni aina ya top bar,hii sana utavuna Mara moja kwa mwaka.hiyo bei ya laki moja unayouza ni kubwa ukilinganisha na mzinga wenyewe.
Langstroths bee hive ni aina ya mzinga bora WA kisasa ambao kwa hapa bongo bei ni kubwa bora uagize China itafika hapa kwa gharama nafuu kuliko utengeneze hapa.
Mfano langstroth hive two layer kwa suchuo cha sua ni 180000 na Tawiri ni zaidi ya hapo.wakati China mzinga huo huo kwa China unaununua 50000 za Tanzania tena umetengenezwa kwa ubora zaidi.
Kuhusu saizi ya nyuki ni tofauti na wahuku kwetu.kuna jamaa yangu aliagiza tukichofanya tuliwapa vipimo vya kihunzi cha nyuki wetu ambacho ni 32mm na bee spance ni 8mmm.wakatutengenezea kwa vipimo hivyo.
Mi ni mdau WA ufugaji nyuki tuache lobgolongo nakushauri kabisa agiza mizinga China wape vipimo vya nyuki WA kwetu huku watakutengenezea.utanunua utasafirisha ,utaitoa bandarini mpaka shambani bado utaokoa pesa nyingi kuliko kununua bongo.
Nakushauri top bar achana Nayo nunua .commercial hive
Mkuu we kweli unajua..wengine wanaleta mihemko ya kibiashara tu.
 
Ninyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.
UkiSkia mizinga we unajua ya mbai tu.
 
It's my pleasure introducing to you ALOHEN Company ltd.

Alohen is a private Company deals Located in Mafinga-Iringa dealing with Beehives and other related equipments, all our hives are manufactured here in Tanzania (not imported) with quality kiln dried pine patula timber and well smoothened to make a better and suitable home for bees. Our hives are strong durable and withstanding all environmental condition with a life span of more than 30 years. Our hives are designed with very strong and effective Hive doors to lock the bees inside during re-location or transportation. The door locks are designed in such a way that you can calibrate entrance to match the size of the bees in order to avoid entry of unwanted pests such as the Hive beetles, Wasps etc.

Ni mzinga wa kisasa wenye uwezo wa kutoa kilo 12 hadi 14 kwa mvuno mmoja,
Una uwezo wa kuvuna zaidi ya mara sita kwa mwaka mmoja

4.jpg
IMG-20170109-WA0001.jpg
IMG-20170423-WA0011.jpg
 

Attachments

Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.

Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.

Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.

Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?

Shukrani.
Hachana na mambo ya China ingia Veta au Sido waambie wakutengenezee kama unavyotaka iwe utakuwa umepunguza Risk ya pesa yako kupotea
 
Unaweza kuniuliza hapahapa. Hakuna tatizo.

It's my pleasure introducing to you ALOHEN Company ltd.
Alohen is a private Company deals Located in Mafinga-Iringa dealing with Beehives and other related equipments, all our hives are manufactured here in Tanzania (not imported) with quality kiln dried pine patula timber and well smoothened to make a better and suitable home for bees. Our hives are strong durable and withstanding all environmental condition with a life span of more than 30 years. Our hives are designed with very strong and effective Hive doors to lock the bees inside during re-location or transportation. The door locks are designed in such a way that you can calibrate entrance to match the size of the bees in order to avoid entry of unwanted pests such as the Hive beetles, Wasps etc.

Ni mzinga wa kisasa wenye uwezo wa kutoa kilo 12 hadi 14 kwa mvuno mmoja,
Una uwezo wa kuvuna zaidi ya mara sita kwa mwaka mmoja
4.jpg
IMG-20170423-WA0011.jpg
 

Attachments

Asali nawauzia wao. Performance ni nzuri kutokana na mazingira mzuri ya kufugia nyuki.
Mkuu Bavaria, naomba unisaidie mawasiliano ya hao wakenya. Nahitaji kupata mizinga aina ya langstrong Kwa ajili ya ufugaji nyuki kwenye shamba langu jipya.
 
Mkuu Bavaria, naomba unisaidie mawasiliano ya hao wakenya. Nahitaji kupata mizinga aina ya langstrong Kwa ajili ya ufugaji nyuki kwenye shamba langu jipya.
mzinga.jpg
mzinga-2.jpg
banda-4.jpg


Mizinga hiyo mkuu, bei yetu ni laki na ishirini tu (Tshs 120,000/=), uwezo (capacity) ya mzinga mmoja ni lita 40 (madumu mawili) ya asali. Ukihitaji na banda (Bee Cage) bei yake ni Milioni nane tu (Tshs 8,000,000/=) Karibu.

0755732981 / 0784 324102
 
Mkuu Bavaria nahitaji mzinga aina ya commercial hive, naomba unisaidie mawasiliano ya hao watu waliokuuzia. Naomba unitumie pm kama hutojali

Kumradhi mkuu, nimechelewa kuona hili ombi lako.

Mawasiliano ni haya;

Green Acres House,
Ali Hassani Mwinyi Road,Victoria Area,
P.O. Box 5603, Dar es Salaam,Tanzania Tanzania

con_tel.png
+255 756 664 369/ +255 737 218 778
 
Back
Top Bottom