Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Betting ni biashara ya kitapeli kwa asilimia 100, wanapata wachache wanapoteza wengi.. Pesa unayodhani umeshinda ni yako na ya wengine waliopoteza. Akili kichwani mwakoHabari za muda,
Mimi ni kijana wa miaka 23 nimekuwa na uraibu mkubwa sana wa kamari (kubeti). Nilianza kubeti tangu 2015 kipindi nipo Form 2 kipind Primier Bet inaanza wale wa vikaratasi then nilistop kwa muda ila wakati nipo form 5 nikarud na uraibu ulianza.
Japo nilishawahi kushinda nilibetia mpaka pesa ya michango kama Tsh. 90,000/- nikala Tsh. 180,000/- but nilikua sibet sana sababu shuleni unabanwa kutumia simu.
Nilivyofika chuoni ndio uraibu ukazidi baada ya kumiliki smartphone, nikawa mraibu sana wa kubeti nikahamia kwenye virtual bet mpaka Aviator la Sportybet nako nilipoteza tu.
Naombeni ushauri namna gani niweze kuacha kubeti maana najitahidi nashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app