Naomba Ushauri: Nataka kununua Google pixel 8 pro

Naomba Ushauri: Nataka kununua Google pixel 8 pro

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
6,585
Reaction score
10,363
Habari Wakuu,

Nimeshawishika sana kuichukua Google pixel 8 pro mpya kutokana na features zake, na Shughuli zangu nnazozifanya naona itanifaa sana,

Nahofia kitu kimoja, mwaka jana nlinunua Google pixel 5a pale china plaza, iliku ni hizi refubished ,Ile simu nlikaa nayo miezi miwili tuu ghafla ikaja kuzima katika mazingira yasio eleweka nkapeleka kwa mafundi wakashindwa, ikabidi niuze kama spare tuu

Nimekua muoga kidogo kurudi tena kwenye hii brand japo naikubali sana,

Wenye uzoefu, Tatizo la Google pixel kujizima na kutowaka ni kwa simu used tuu au hata hizi mpya?

Issue ingine naskia hizi simu siku hizi zipo zinazokuja na vioo original na zingine vioo fake, Hii imakaaje?
 
Habari Wakuu,

Nimeshawishika sana kuichukua Google pixel 8 pro mpya kutokana na features zake, na Shughuli zangu nnazozifanya naona itanifaa sana,

Nahofia kitu kimoja, mwaka jana nlinunua Google pixel 5a pale china plaza, iliku ni hizi refubished ,Ile simu nlikaa nayo miezi miwili tuu ghafla ikaja kuzima katika mazingira yasio eleweka nkapeleka kwa mafundi wakashindwa, ikabidi niuze kama spare tuu

Nimekua muoga kidogo kurudi tena kwenye hii brand japo naikubali sana,

Wenye uzoefu, Tatizo la Google pixel kujizima na kutowaka ni kwa simu used tuu au hata hizi mpya?

Issue ingine naskia hizi simu siku hizi zipo zinazokuja na vioo original na zingine vioo fake, Hii imakaaje?
Pixel 8 ni simu nzuri this time wameboresha vitu vingi. New soc, new design, battery imeboreshwa. Advice nunua from box
 
Ndiyo nasikia kitu hii, ni kitu gani, kinafanya nini, na kinatengezwa na nani maana google ni ya USA sasa wana simu initwa hivyo? Nielewehe elimu haina mwisho
Google Pixel ni brand vifaa vya electronics kutoka Google, vikiwemo simu za mkononi, tablets na vifaa vingine. Bidhaa maarufu zaidi katika brand hii ni simu zake za mkononi( pixel mobile series) zinazotumia mfumo wa Android, na uwezo wa hali ya juu wa kamera. Simu ya kwanza ya Pixel ilizinduliwa mwaka 2016, na mfululizo huo umekua tangu hapo kwa wamekuwa wakija na matoleo ya kila mwaka, yakijumuisha maendeleo ya hivi karibuni ya vifaa na programu. Simu za pixel zina muundo wake safi, + Google services na moja ya camera bora zaid kuliko brand zingine na google AI services
 
Chukua hicho chuma,no lags,camera safi sana,bettry nzuri inakaa na chaji na features nyingine nyingi tu nzuri kwa bei nzuri...
 
GP8 ni chuma sanaaaaaa.
Disappointment utakayoipata ni kwenye Battery life..
Hio simu pamoja na kua na 5050mAh kwa matumizi ya kawaida tuu ya kuingia mtandaoni kwa biashara, matangazo kuperuzi, Jioni hutoboi...

Malalamiko ni mengi kuanzia models za nyuma ila bado hawajajirekebisha, imagine simu umetumia kwa masaa ma 4 tuu, imekula 67%? tena asilimia kubwa hata sio Internet ni network ya kawaida tuu ya simu labda kupiga na kupokea.
Screenshot_20240616_121847_Chrome.jpg

Sidhani kama dunia hii kuna mtu anafurahia kutembea na Power Bank, sidhani kama anapenda kutumia simu mchana tuu wa saa sita yupo kwenye mishee anazima data kusave battery, huku kila saa akinagalia juu kujua amebakiza % ngapi..,

Watu wanahitaji simu ambayo hata kwa bahati mbaya umeme usiku haupo, basi at least asubuhi anaamka na some percentage za kuangalia saa na kupigia watu muhimu kwenye mizunguko yako..

Camera yake hio kitu siwezi zungumzia, hawa jamaa hio technolojia yao ni sheeda..
Gap lao na simu nyingine ni clearly visible.

Speed yake ni kugusaa tuu, features za kibabe, pure android,
Ukifika saa tisa imezima, what does those features helps you?
 
uwe mtunzaji, simu hizi zikidondoka vioo huwa vinazima na ni bei ghali kuvibadili, wengi wamezipaki makabatini
 
GP8 ni chuma sanaaaaaa.
Disappointment utakayoipata ni kwenye Battery life..
Hio simu pamoja na kua na 5050mAh kwa matumizi ya kawaida tuu ya kuingia mtandaoni kwa biashara, matangazo kuperuzi, Jioni hutoboi...

Malalamiko ni mengi kuanzia models za nyuma ila bado hawajajirekebisha, imagine simu umetumia kwa masaa ma 4 tuu, imekula 67%? tena asilimia kubwa hata sio Internet ni network ya kawaida tuu ya simu labda kupiga na kupokea.View attachment 3018585
Sidhani kama dunia hii kuna mtu anafurahia kutembea na Power Bank, sidhani kama anapenda kutumia simu mchana tuu wa saa sita yupo kwenye mishee anazima data kusave battery, huku kila saa akinagalia juu kujua amebakiza % ngapi..,

Watu wanahitaji simu ambayo hata kwa bahati mbaya umeme usiku haupo, basi at least asubuhi anaamka na some percentage za kuangalia saa na kupigia watu muhimu kwenye mizunguko yako..

Camera yake hio kitu siwezi zungumzia, hawa jamaa hio technolojia yao ni sheeda..
Gap lao na simu nyingine ni clearly visible.

Speed yake ni kugusaa tuu, features za kibabe, pure android,
Ukifika saa tisa imezima, what does those features helps you?
Je, umejaribu kutumia bila ya VPN na kupata majibu sahihi ya ufanisi wa battery katika simu hiyo?

Hallelujah!!!
 
Duh! hapa ndo najipanga niende kuchukua phone China Plaza...kumbe kasha jipya simu mbovu?
Chukua mpya kuondoa hofu, Najiulizaga mtu analipia fremu pale China plaza kuuza simu mbovu! jamaa wana kesi kibao za kuuza simu mbovu.
 
Kuna ukweli hapa, mara nyingi nakutana na haya matangazo insta

Screenshot_20250213-193624.png
 
Back
Top Bottom