Naomba ushauri, nataka kuwekeza kwenye taxi mtandao

Naomba ushauri, nataka kuwekeza kwenye taxi mtandao

Aidany

Member
Joined
Jan 18, 2018
Posts
5
Reaction score
1
Nimefanya Kazi ya uber kwa muda kidogo Nikiwa napewa Day waka na Watu au Marafiki zangu. Sasa nimefanikiwa Kupata kiasi cha pesa nahitaji Gar za mkataba au mikopo Nafuu .

Pesa niliyonayo ni Million 3.

Sehemu nyingi nilizoenda wanataka Hati ya Nyumba. Sasa naomba msaada kwa yeyote anaejua juu ya hili.

Asante sana Waungwana
 
Million 3 unapata gari mkuu ya kuanzia life
 
Nimefanya Kazi ya uber kwa muda kidogo Nikiwa napewa Day waka na Watu au Marafiki zangu. Sasa nimefanikiwa Kupata kiasi cha pesa nahitaji Gar za mkataba au mikopo Nafuu .

Pesa niliyonayo ni Million 3.

Sehemu nyingi nilizoenda wanataka Hati ya Nyumba. Sasa naomba msaada kwa yeyote anaejua juu ya hili.

Asante sana Waungwana
Mkuu jiwinde upate hata milioni 5 utafute vits old model iliyo katika hali nzuri, swala la routes za garage lisiwe changamoto kwako labda kwa services za kawaida, ubaki kupambana na routes za barabarani na wateja wako na mikono ya matrafiki
 
Back
Top Bottom