Naomba ushauri: Ni antivirus ipi ni nzuri na inaweza kuweka ulinzi mzuri dhidi ya virus na harkers ikiwezekana?

Naomba ushauri: Ni antivirus ipi ni nzuri na inaweza kuweka ulinzi mzuri dhidi ya virus na harkers ikiwezekana?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Sokoni kuna antivirus nyingi na kila moja inajinasibu kuwa ni nzuri. Kwa yule mwenye uzoefu na antivirus mbalimbali naomba ushauri nitumie antivirus vipi kwenye laptop yangu?
 
Sijajua hasa ni kwa ajili ya ulinzi wa nini ila mimi nakushauri tumia Microsoft Security Assential..!! Zaidi ukumbuke kuipdate kila itakavyokua inahitaji
 
Shughuli zako ni zipi kwa hiyo laptop mkuu maana watu tumetumia avast free downloaded miaka na miaka hatujadukuliwa cha msingi tunaiupdate mara kwa mara
 
Shughuli zako ni zipi kwa hiyo laptop mkuu maana watu tumetumia avast free downloaded miaka na miaka hatujadukuliwa cha msingi tunaiupdate mara kwa mara
Shughuli zangu nyingi ni kuitumia kwa ajili ya: Masomo kupitia internet, taarifa za habari za mashirika mbali mbali, kutunzia taarifa za kibiashara, na kuitumia kwenye mitandao ya kijamii.
 
Shughuli zangu nyingi ni kuitumia kwa ajili ya: Masomo kupitia internet, taarifa za habari za mashirika mbali mbali, kutunzia taarifa za kibiashara, na kuitumia kwenye mitandao ya kijamii.
Download avast mkuu bure usijitwishe mzigo
 
Mimi miaka na miaka sijawahi kutumia antivirus nje ya defender, yaani mimi na pc yangu tabia zetu zinafanana hatujikingi kwa chochote na hatupati madhara miaka yote.
 
Back
Top Bottom