Habari za Leo wanajamii forum, naombeni nisaidiwe kwa hili.
Nina kazi ya kukaa muda mrefu kwenye kompyuta (Coding Developer), na katika kipindi kifupi kilichopita, nimeanza kusumbuka na maumivu ya mgongo upande wa kushoto, chini kidogo. Hali hii inanipelekea kutoshika vizuri kwa muda mrefu; mpaka napenyeza mgongo au nigemee, lakini bado siwezi kubaki katika hali moja kwa muda. Maumivu nayasikia hasa nikikaa kwa muda mrefu au nikilala, na nashindwa kujua ni jinsi gani ya kulala vizuri.
Nimejaribu kutumia baadhi ya vidonge nilivyonunua kwenye duka la madawa baada ya kutoa maelezo, lakini nimeona havifui dafu. Pia, nimesoma baadhi ya makala mtandaoni na nikaona huenda ni kuchanika au kukakamaa kwa mgongo.
Nifanyeje? Uafadhali hutokea pindi ninapokuwa natembea. Nisaidieni wajuzi na wakunga tafadhali.
Ahsabteni sana.
Nina kazi ya kukaa muda mrefu kwenye kompyuta (Coding Developer), na katika kipindi kifupi kilichopita, nimeanza kusumbuka na maumivu ya mgongo upande wa kushoto, chini kidogo. Hali hii inanipelekea kutoshika vizuri kwa muda mrefu; mpaka napenyeza mgongo au nigemee, lakini bado siwezi kubaki katika hali moja kwa muda. Maumivu nayasikia hasa nikikaa kwa muda mrefu au nikilala, na nashindwa kujua ni jinsi gani ya kulala vizuri.
Nimejaribu kutumia baadhi ya vidonge nilivyonunua kwenye duka la madawa baada ya kutoa maelezo, lakini nimeona havifui dafu. Pia, nimesoma baadhi ya makala mtandaoni na nikaona huenda ni kuchanika au kukakamaa kwa mgongo.
Nifanyeje? Uafadhali hutokea pindi ninapokuwa natembea. Nisaidieni wajuzi na wakunga tafadhali.
Ahsabteni sana.