Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
- Thread starter
-
- #21
Dah swali gumu hili,sasa kataa bombe za stress,toka umeanza kunywa hizo pombe umesolve hizo stress hata moja...
Tusiombeane mabaya sio kama napenda kuwa hiviAkifukuzwa ni vizuri atapata muda zaidi wa kunywa pombe
Sijafika huko mkuuUkiwa mlevi kupitiliza hata kazi hufanyi.. na wengn hufukuzwa kazi
Kabsa kiongoz jizatiti sna kwenye hilo ipo sku utaweza kuamua unywe au uache na sio hamu ya pombe ikuamulie .M
mkuu nahisi zishakaa kwenye damu labda nifosi mazoezi
muda huu umesha kunywa au badoTulitibuana akaenda kwao na mwanangu
Hutaki nyumba za ibada, basi nenda kwa waganga na wachawi.....jinga kabisaNilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.
Nilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.
Una kiu ya kutenda dhambi maana umefungwa ikafungika.Chagua maombi.Ukiombewa kiu itakata ya ulevi.Nilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.
Mungu akulindeNaenda mwaka wa 7 huu bila kuonja pombe. Thank you Jesus ππΏππΏππΏ
Asubuhi tu nimebust ndo nikaona huu ushakuwa utumwa mbayamuda huu umesha kunywa au bado
Kwanini unaacha Sasa..πNimejaribu kukwepa kampani ila nimejikuta nakaa bar mpaka usiku mnene pekee angu,
Hata kwa waganga na wachawi ni nyumba za ibada siendiiiHutaki nyumba za ibada, basi nenda kwa waganga na wachawi.....jinga kabisa
Duh sio poaKwanini unaacha Sasa..π
Andaa kikao tupige bia za mwisho wakati nakushauri,nipo hapa ROMBO GREEN VIEW HOTEL ShekilangoNilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.