Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
- Thread starter
- #41
Hunitakii mema mkuuAndaa kikao tupige bia za mwisho wakati nakushauri,nipo hapa ROMBO GREEN VIEW HOTEL Shekilango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunitakii mema mkuuAndaa kikao tupige bia za mwisho wakati nakushauri,nipo hapa ROMBO GREEN VIEW HOTEL Shekilango
Kama hiyo picha dp ni yako nakuja 🤣Ukowapi Njoo tunywe mwaya [emoji2957]
Mkuu nilianza pekeangu tena kwa kujificha lakini matokeo yake sasaHivi pombe zina wapeleka vipi..? Jipangie mimi nitakua nakunywa pombe weekend tu tena ijumaa na jumamos, tena jipangie kiasi maalum utakachotumia... Epuka pombe za marafiki, pombe za offer, pombe za kuitwa sehem, Kwasabab hizi pombe ndio zinafanya watu wawe watumwa ukipenda ofa ukipenda za marafiki basi lazima na wew uwe unatoa pesa nyingi kuwalidhisha wenzako... Toka kanywe pombe pekeako ikitokea umekutana na watu unaowajua usishoboke...
Kweli kiongozi vitabu itabidi nianze kusomaSi rahisi kutibu addiction bila kutafita addiction nyingine yenye unafuu, unaweza uka replace uraibu wa pombe kwa kujitengenezea uraibu mwingine kama vile mazoezi, kusoma vitabu etc
Haya wacha wapambane wenye uwezo maana mi hata yangu yananishinda
Kwa nlipofikia nataka niache tu shida sio pombe shida ni pombe kaliWeka tu ratiba kwamba pombe uwe unakunywa weekend tu, sidhani kama hii nayo utashindwa maana huwezi kuacha kirahisi,
Uwe unakunywa weekend na holidays basi, naamini una kazi unakua bize weekdays
Hii nzuriHakuna dawa,kuna watu nimeshaona wanatumia dawa na wanaonekana kama wameacha lakin baada ya muda wanarudi kuwa walevi zaidi
Cha kukushauri endelea kutafuta hela zaidi kama haikuzuii kufanya kazi zako na jiwekee bili ya bia tatu kila siku
Kaka ukiamua unaweza ila wana psychology wanasema ukiamua kuacha kitu na ukakirudia basi mwendelezo wake ni mkali kuliko ule wa mwanzo,pia kama umeanza tungi ukubwani itakusumbua ,Mimi ni mwnyaji nikiamua ila pia sio lazma ninywe ,so msimamo na kujiamini na kuamua vinanisaidia ....kingine tabia kumbuka unywaji ni tabia ambapo inajengwa na maamuzi,mazingira na MALEZI baadae inakuathiri ,Cha kukusaidia chkulia pombe ni kitu Cha kawaida ,Kaa na wanywaji na jizuie usinywe,kingine acha ulafi angalia baada yakulewa ni mambo yapi yanakuwa kwenye akili yako je ni wanawake?,au mikakati ya maisha,au ni stress......kama lipo linaleendana na Hilo una matatizo zaidi ya ilo Moja amua kupunguza na kukwepa marafiki wa aina yako mwisho kunywa pombe za gharama ata ukiishiwa Baki ulivyo ukikimbilia kwenye gharama ndogo unazidi kujimalizaNilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.
Kula bia sasaKwa nlipofikia nataka niache tu shida sio pombe shida ni pombe kali
Pombe nimeanza nikiwa sekondari ila saivi naona zinanipeleka putaKaka ukiamua unaweza ila wana psychology wanasema ukiamua kuacha kitu na ukakirudia basi mwendelezo wake ni mkali kuliko ule wa mwanzo,pia kama umeanza tungi ukubwani itakusumbua ,Mimi ni mwnyaji nikiamua ila pia sio lazma ninywe ,so msimamo na kujiamini na kuamua vinanisaidia ....kingine tabia kumbuka unywaji ni tabia ambapo inajengwa na maamuzi,mazingira na MALEZI baadae inakuathiri ,Cha kukusaidia chkulia pombe ni kitu Cha kawaida ,Kaa na wanywaji na jizuie usinywe,kingine acha ulafi angalia baada yakulewa ni mambo yapi yanakuwa kwenye akili yako je ni wanawake?,au mikakati ya maisha,au ni stress......kama lipo linaleendana na Hilo una matatizo zaidi ya ilo Moja amua kupunguza na kukwepa marafiki wa aina yako mwisho kunywa pombe za gharama ata ukiishiwa Baki ulivyo ukikimbilia kwenye gharama ndogo unazidi kujimaliza
Hili wazo ntajaribu kulifanyia kazi kama mengine yakifeliKula bia sasa
Kama ni hizi Kali za buku 2 2 hujitakii memaPombe nimeanza nikiwa sekondari ila saivi naona zinanipeleka puta
Hamna mkuu hizo niliacha, saivi ni nyagi dryKama ni hizi Kali za buku 2 2 hujitakii mema
Hili wazo ntajaribu kulifanyia kazi kama mengine yakifeli
Kama hiyo picha dp ni yako nakuja [emoji1787]
KonyagiPombe kali ipi unakunywa?
Nimewahi kupoteza rafiki kwa issue ya nyagi ,inni figo na sukari kuwa juu niliamua kupiga chini maana asubuhi nilikuwa nachoka baadae doctor alishauri niache kwa kuwa Ina sukari nyingi sana,hapo ulipo utazalisha tatizo jingine Bora ule ngano kama vpHamna mkuu hizo niliacha, saivi ni nyagi dry