Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
- Thread starter
- #81
Ili niwe sawa saivi sipo sawaUnataka uachane na starehe ya kulewa ili iweje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili niwe sawa saivi sipo sawaUnataka uachane na starehe ya kulewa ili iweje kwa mfano?
Source ya kutokuwa sawa umeishaijua,, kwanini ushindwe kufanya maamuzi?Ili niwe sawa saivi sipo sawa
Ndugu yangu hata sijui, kama nistress nshkubaliana nazo na hazinisumbuiKwa nini uliacha na KIPI KILIKUFANYA URUDI? Ukinijibu nakusaidia
I'll try my bestSource ya kutokuwa sawa umeishaijua,, kwanini ushindwe kufanya maamuzi?
Ulikuwa umepumzika ukuwachaNilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.
Toa majibu ya kuelewaka mkuu usaidike. Kwa nini uliacha kunywa tena? Ulikaa muda gani bila kunywa? Siku unaenda kunywa tena baada ya break fupi ulikuwa kwenye hali gani/ nini kilikusukuma??Ndugu yangu hata sijui, kama nistress nshkubaliana nazo na hazinisumbui
I'll try my best