mmh mtu anapiga nyagi dry aisee..Nimewahi kupoteza rafiki kwa issue ya nyagi ,inni figo na sukari kuwa juu niliamua kupiga chini maana asubuhi nilikuwa nachoka baadae doctor alishauri niache kwa kuwa Ina sukari nyingi sana,hapo ulipo utazalisha tatizo jingine Bora ule ngano kama vp
Kuna watu ni hatari ila sio poa Wala sifammh mtu anapiga nyagi dry aisee..
Duh asee huu msalaNimewahi kupoteza rafiki kwa issue ya nyagi ,inni figo na sukari kuwa juu niliamua kupiga chini maana asubuhi nilikuwa nachoka baadae doctor alishauri niache kwa kuwa Ina sukari nyingi sana,hapo ulipo utazalisha tatizo jingine Bora ule ngano kama vp
Atakushkuru baadaeAmua
ChaiKuna dawa inauzwa inauzwa 250000 na babuyangu
Yafuatayo zingatia
1) anayekuwekea kwenye pombe usimjue na Wala usijue
2) utatapika Sana hatakiwi kuzidisha
angekua ndomdogo wako au mkeo kalalamika wewe hujui ilikuwa tamusana hii ,ukiwekewa hiyo hutakuja gusa pombe maishani(abadani)
NB,haikufanyi uwe bwege
AlaaaaKama una smati phoni na una uwezo wa kuweka bando la intaneti na una uwezo mzuri kabisa wa kuandika mada kwa usahihi humu jamii forum kuhusu unywaji wako mzuri wa pombe itoshe kusema kaka endelea kunywa tuu unajitambua vibaya mnoo,,shida unajishtukia wakati wala si dhambi,,,hizo pombe hajaumbiwa mbuzi wala Ng'ombe ni kwa ajili yetu sisi wanaadamu tulio hai,,kula vifaa, [emoji482] [emoji482] kaka acha uwoga!!unataka uache pombe ili uwe mmbea sio!!
Tatizo mpira tunaangalizia barPombe haiachwi achwi hovyo jombaa,you have to be committed,Ila wakati unajitenga nayo unatafuta distractions,Na zipo nyingi tafuta inayokufaa,shabikia mpira,check movie,tafuta manzi,n.k
Amua
Mie nitakuongezea ulevi tu...Sa ntaamuaje njoo nikuweke ndani bas kama itakupendeza
Ni kweli sio dhambi shida mavitu makaliKama una smati phoni na una uwezo wa kuweka bando la intaneti na una uwezo mzuri kabisa wa kuandika mada kwa usahihi humu jamii forum kuhusu unywaji wako mzuri wa pombe itoshe kusema kaka endelea kunywa tuu unajitambua vibaya mnoo,,shida unajishtukia wakati wala si dhambi,,,hizo pombe hajaumbiwa mbuzi wala Ng'ombe ni kwa ajili yetu sisi wanaadamu tulio hai,,kula vifaa, 🍻 🍻 kaka acha uwoga!!unataka uache pombe ili uwe mmbea sio!!
Aah ulevi sitakiMie nitakuongezea ulevi tu...
Kwa nini uliacha na KIPI KILIKUFANYA URUDI? Ukinijibu nakusaidiaNilifanikiwa kuacha pombe for few months ila nimerudi kwa kasi ya ajabu mimi sio wa hivi nakataa nakataa tena. Mnishauri ndugu zangu ninapoendea ntaona maisha hayana maana, pesa haikai.
Au kama kuna anaejua dawa anisaidie i am finished, sitaki ushauri wa kwenda nyumba za ibada.