yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Inategemea na uzi wako, wewe umeleta uzi wa kivulana lazima ushauri uwe wa kiutopolo utopolo hivohivo.Kweli jf siki hizi hamna washauri.
28 July mimba kuingia, 02 Aug MTU anaanza kusikia kichefuchefu..na hataman kula...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hali ni mbaya huko mkuu. Ameanza vichefu chefu na kushindwa kula.
na mabinti wanapenda kuzaa sas ahivi haa kama hawajaolewa sababu nafasi ni finyu sasa ...na mwingine anajua akiwa na mtoto wako utamkubali....Wakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.
Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.
Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu. [emoji120][emoji120]
duh we kweli noma......we mau kama vipi achana naye tafute PS nikutwange magoli ya mpira na mortal kombat >>>>>>Daaah umenipoteza kidogo p2 ndo nn..ni playstation 2 au...?