Naomba ushauri, nimeharibu mahali

Naomba ushauri, nimeharibu mahali

Kama bint sio mwanafunzi, anza tu kufanya matunzo na maandalizi ya kutunza mtoto, usiuwe mimba huwezi jua huyo kijacho atakuja kuwa na faida gani kwako na kwa taifa letu, usikute ndiye Rais wa Tz mwaka 2070.
 
Wakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.

Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.

Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu. [emoji120][emoji120]
na mabinti wanapenda kuzaa sas ahivi haa kama hawajaolewa sababu nafasi ni finyu sasa ...na mwingine anajua akiwa na mtoto wako utamkubali....
 
Back
Top Bottom