Naomba ushauri: Nimepata madhara baada ya kutumia kwa muda mrefu dawa za kuongeza nguvu za kiume 'Erecto'

Naomba ushauri: Nimepata madhara baada ya kutumia kwa muda mrefu dawa za kuongeza nguvu za kiume 'Erecto'

Wana JF napenda kutoa ushuhuda nimekua nikitumia dawa za mguvu za kiume kwa mwaka mmoja saivi nina moezi miwili toka niache.
MADHARA niloyopata nahisi moyo kuuma, kichwa kinaumaa kila siku, macho yanauma kila siku na nguvu nilizokuwa nazo mwanzo naona zimepungua kabisa yani uume unasimama lege sana.
Kwa yoyote mwenye ushauri nawezaje kurecover kutoka kuwa chronic user wa erecto ili niweze kuwa imara tena na madhara niliyo yayaja hapo yapotee.
NB. Nina miezi miwili sasa toka niche kutumia.
Nyege zako zimekugharimu.
HUwezi kushindana na uchi wa mwanamke ndio unasibika sasa
 
Hivi wakuu vipi kuhusu hizi protein za kujaza mwili? Mwenye experience nazo tafadhali maana nataka nitumie at least kujaza mwili nimekuwa skin sana vp side effects hatarishi ni zipi?
 
Hivi wakuu vipi kuhusu hizi protein za kujaza mwili? Mwenye experience nazo tafadhali maana nataka nitumie at least kujaza mwili nimekuwa skin sana vp side effects hatarishi ni zipi?
Tulia happ happ.
Unaambiwa hakuna mwembamba muda wako bado tu.

1. Kula sio sana ila mara nyingi
2. Pumzika
3. Achana na uyo demu ulienae
4. Punguza stress esp za mapenzi


Hayo maprotein waachie wadada
 
Tulia happ happ.
Unaambiwa hakuna mwembamba muda wako bado tu.

1. Kula sio sana ila mara nyingi
2. Pumzika
3. Achana na uyo demu ulienae
4. Punguza stress esp za mapenzi


Hayo maprotein waachie wadada
Sawa mkuu nashkuru kwa advice
 
Pole kwa changamoto hiyo,lakini hongera sana kwa kufanya maamuzi mazuri ma sahihi ya kuachana na dawa hizo.Mungu akusimamie uache jumla kabisa.
Kwa sasa unatakiwa kuzingatia yafuatayo
1.Kuhakikisha unaondoa uraibu uliachwa na hizo dawa kwenye mfumo wako wa mwili ili kuhakikisha hali yako ya awali inarejea,hii inajumuisha tiba maalum(Kama utahitaji ninaweza kukusaidia)
2.Huku ukiendelea na tiba,unatakiwa kuridhika na perfomance ndogo kwenye tendo ambapo utaendelea kurejea taratibu kadri unavyojitibu,kwa hiyo usilazimishe kabla ya kupona vinginevyo utatamani tena madawa hayo.
3.Zingatia Mazoezi kama wengi walivyokushauri ili kuendelea kuweka mzunguko wako sawa,lakini zaidi ni kuhakikisha presha yako iko katika kiwango sahihi maana pia madawa haya huathiri presha na hivyo kuathiri mzunguko wa damu.
 
Hao wanawake mnao wannywea mpk viagra ni wanawake gani?...mbona kama kufanya sex imekua kama uwanja wa mapambano ya wresting..sio kitu cha kufurahia bali ni kutaka kuonyeshana umwamba..
Yani ilikuwaje mpk ukaanza kunywa dawa? Alikwambia hatosheki au? Vijana mnadanganyana sana...
Mwanamke ni maandalizi tuu hayo mengine ni mbwembwe...maana through kumuandaa anaweza akamaliza haja zake hapo hapo ww ni kufanya tuu chap kama jogoo...ukasepa zako...
 
Wana JF napenda kutoa ushuhuda, nimekua nikitumia dawa za nguvu za kiume kwa mwaka mmoja, saivi nina moezi miwili toka niache.

Madhara niloyopata nahisi moyo kuuma, kichwa kinaumaa kila siku, macho yanauma kila siku na nguvu nilizokuwa nazo mwanzo naona zimepungua kabisa yani uume unasimama lege sana.

Kwa yeyote mwenye ushauri nawezaje kurecover kutoka kuwa chronic user wa erecto ili niweze kuwa imara tena na madhara niliyo yayaja hapo yapotee.

NB. Nina miezi miwili sasa toka niche kutumia.
Njoo nikipe formula ya matunda utoe sumu zote mwilini bei elf 10 tu 0712505049
 
Hao wanawake mnao wannywea mpk viagra ni wanawake gani?...mbona kama kufanya sex imekua kama uwanja wa mapambano ya wresting..sio kitu cha kufurahia bali ni kutaka kuonyeshana umwamba..
Yani ilikuwaje mpk ukaanza kunywa dawa? Alikwambia hatosheki au? Vijana mnadanganyana sana...
Mwanamke ni maandalizi tuu hayo mengine ni mbwembwe...maana through kumuandaa anaweza akamaliza haja zake hapo hapo ww ni kufanya tuu chap kama jogoo...ukasepa zako...
🤔
 
🎶Oyaa nyapu hizoooo nyapu🎶 hizooooo nikizona dushe lina kisa tenaaa!!!!!🎶🎶🎶🎶🎶🎶
 
Penda sana kutumia juice ya tende Yani Ile Bomba kabisa supu ya samaki nahisi inaweza kukusaidia
 
Ridhika na tako zako 3. Zinatosha
Aridhike vipi na tako tatu akati mzigo hausimami vizuri? Aka legelege

Labda awe analomba mishangazi yenye lambo, ila vitoto vya 2000 kuingiza ni lazima upate sapoti ya mkono, tena kwa mbinde.

Imagine una kazi ya kutoa bikra halafu una uume legelege.
 
Aridhike vipi na tako tatu akati mzigo hausimami vizuri? Aka legelege

Labda awe analomba mishangazi yenye lambo, ila vitoto vya 2000 kuingiza ni lazima upate sapoti ya mkono, tena kwa mbinde.

Imagine una kazi ya kutoa bikra halafu una uume legelege.
Wewe umeelewa concept lege kwa vitoto vy 2000 upenyi noma sana
 
Aridhike vipi na tako tatu akati mzigo hausimami vizuri? Aka legelege

Labda awe analomba mishangazi yenye lambo, ila vitoto vya 2000 kuingiza ni lazima upate sapoti ya mkono, tena kwa mbinde.

Imagine una kazi ya kutoa bikra halafu una uume legelege.
Watu wwnashindwa kuelewa kuchelewa kukojoa ni ishu tofauti kabisa huyu kilichommaliza ni kutumia dawa sana kwenye sapoti ya erection ndio kilichofanya nguvu zake za uume kua tegemezi bila dawa haisimami imara.

Kuchelewa ni ishu tofauti kabisa. Hata hizo tako tatu anapigaje wakati mzigo hausimami
 
Hivi wakuu vipi kuhusu hizi protein za kujaza mwili? Mwenye experience nazo tafadhali maana nataka nitumie at least kujaza mwili nimekuwa skin sana vp side effects hatarishi ni zipi?
Jikubali mkuu,Mimi ni mwembamba Kuna watu hunicheka ila najikubali sana,kikubwa sina magonjwa ,mke wangu ni bonge Huwa namcheka sana.

Unataka unene ili umfirahishe nani!?
 
Hivi wakuu vipi kuhusu hizi protein za kujaza mwili? Mwenye experience nazo tafadhali maana nataka nitumie at least kujaza mwili nimekuwa skin sana vp side effects hatarishi ni zipi?
Yaani hizo ndo balaaa utatoka manundu mwili haueleweki..
Zinanyonya mboo inakuwa kama ya mtoto sasa sijui itakuwaje kwenye game🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom