Chukua ushauri wangu utakusaidia.
Anza mazoezi kwa bidii sana, acha kufanya mapensi kabisa katika kipindi chote cha kurecover, usile vyakula vya kukaangwa, sukari, wanga na badala yake kula sana vyakua raw foods, protiniz matunda na mbogamboga. Therapy hii ifanye kwa miezi 6 tuletee mrejwsho. Na kama unakunywa pombe acha pia