Naomba ushauri: Nimepata madhara baada ya kutumia kwa muda mrefu dawa za kuongeza nguvu za kiume 'Erecto'

Umeli get, Wana kuli find!
 
Chukua ushauri wangu utakusaidia.
Anza mazoezi kwa bidii sana, acha kufanya mapensi kabisa katika kipindi chote cha kurecover, usile vyakula vya kukaangwa, sukari, wanga na badala yake kula sana vyakua raw foods, protiniz matunda na mbogamboga. Therapy hii ifanye kwa miezi 6 tuletee mrejwsho. Na kama unakunywa pombe acha pia
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…