Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

nimekuwangalia jina tena.. ndiwo ndiwo ulituacha mikoani ukawenda Dar.. kutembea.. ukafurahia likizo ya kwako huko.. wadau humu walikupokea
 
Watu wa aina yako wanakera sana kwenye mahusiano, na mara nyingi mnasababisha maugomvi mengi sana kwenye mahusiano yasio na maana,
Hakuna jambo baya kama kuhisi au kuambiwa jambo badala ya kuuliza au kutuliza akili yako kwa muda kwanza mnaanza kununa, maugomvi ya kijinga afu hapo hutaki hata mwenzio ajitetee au kukuelewesha, utafikiri una ushahidi 100% kumbe ulihisi au kuambiwa tu...
Mwanamke wa aina yako ni kwikwi mna wivu wa kijinga sana.
 
Kwanza wewe ni mnafiki, mzandiki wa hali ya juu.
Ulishindwa nini kumuuliza jamaa yako?
Yani send off iandaliwe kwa gharama then wewe unaharibu bila huruma kisa kulipa kisasi?
Hufai kuwa mke, jamaa amefumbuliwa kitu kikubwa mno.
Kafie mbele
 
Ndo unafiki wetu huu wTZ
Hapana, waTZ hatupo hivyo. Tena ingekuwa ni mimi nimechumbiwa hlf nikapata habari mbaya kuhusu jamaa sicheleweshi naanza na yeye kumuhoji. Yaani huwezi kaa kimya hata kidogo sijui mwenzetu aliwezaje
 
Kuelekea ndoa hua kuna maneno mengi ya uchonganishi toka kwa wenye roho mbaya hivo hua ni vyema kua makini kuliko kukurupuka, kikubwa waeleze ukweli wa jambo kama wanayo nia hakitoharibika kitu.
Keshaharibu, binafsi hyo ni ishara kwamba huyo si mwanamke bora. Kipindi hicho huwa na vita vikubwa.
 
Hapana, waTZ hatupo hivyo. Tena ingekuwa ni mimi nimechumbiwa hlf nikapata habari mbaya kuhusu jamaa sicheleweshi naanza na yeye kumuhoji. Yaani huwezi kaa kimya hata kidogo sijui mwenzetu aliwezaje
Yes, ndicho alichotakiwa kukifanya.
 
Hapana, waTZ hatupo hivyo. Tena ingekuwa ni mimi nimechumbiwa hlf nikapata habari mbaya kuhusu jamaa sicheleweshi naanza na yeye kumuhoji. Yaani huwezi kaa kimya hata kidogo sijui mwenzetu aliwezaje
mkuu habari kama hizi huleta taharuki kubwa, mhusika anakua anawaza kama ameweza nificha hata nikimuuliza hawezi kua mkweli hivo ataona suluhu ni kususa, nimewahi shiriki ndoa kadhaa zenye changamoto za namna hii hivo haya mambo hutokea
 
mkuu habari kama hizi huleta taharuki kubwa, mhusika anakua anawaza kama ameweza nificha hata nikimuuliza hawezi kua mkweli hivo ataona suluhu ni kususa, nimewahi shiriki ndoa kadhaa zenye changamoto za namna hii hivo haya mambo hutokea
Sawa, basi hata wazazi na ndugu zake walishindwa kuwasiliana na wenzao?
 
Kijana hapendi jambo flani na mama alishakwambia kama ni hivyo hakufai na umeshindwa waliweka hapa hadharani, Hilo ndio lililofanya mkimbie send off
Rudisheni chao wewe bado kijana Sana usiogope utaolewa tu
 
Sawa, basi hata wazazi na ndugu zake walishindwa kuwasiliana na wenzao?
mkuu taarifa za ghafla kuelekea jambo huleta taharuki na kuwaweka njia panda wahusika maana mtawaza hata tukiwauliza kama waliamua kutuficha hawawezi kutuweka wazi, kuna mdogo wangu alijipata katika kadhia hii tulifikia hatua ya kurudisha mahari bt baada ya taharuki ile muoaji akatupa muda wa kuchunguza ukweli na tulipojiridhisha ndo mambo yakaendelea, cha ajabu alotupa taarifa ya kua bwana harusi ana mke mwingine ni mtu wa familia ile kumbe ni chuki tu za walimwengu.
 
Anajifikiria mwenyewe huyu dada alisahau jamaa kakubali kuwa mume wa pili.
Ukute limwanmke lenyewe ni used mpaka limekuwa scaper. Lina boyfriend na linalalaga huko hadi asubuhi, halafu kuolewa kuwa mke wa pili linaringa. shenzitype
 
Mbeya mpaka Ngara, naomba Mungu usipate Mme kamwe!
 
Duuuu pole sana kwa kweli umechezea bahati, jaribu kufanya mchakato wa kuomba msamaha huwezi jua, usiache kuleta mrejesho hapa juu ya kitakachojiri.
 
Wanawake sometimes sijui mkoje. Sasa wewe unamakubalianao na mchumba wako, likatokea la kutokea hata kuumuliza umeshindwa, ukaona dawa ni kununa na kujifungia ndani. Anyway nenda kaombe msamaha, na rudisheni fedha za watu. Na wala usiongelee maswala tena ya kwamba unataka kuolewa. rudisha fedha, omba msamaha ondokeni. suala la ndoa kama ipo au lah, hilo ataamua mwanaume mwenyewe.
 
very selfish. kaniboa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…