Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Sawa kabisa angempa jamaa tabu Sana

At least kajulikana mapema

Huyo jamaa akirudi atakuwa lofa
 
Hahahahahaaaaaaaaaa utakua umepatia nilikua najalibu kumpa puresha mleta uzi na kufulahisha jukwaa, atakua kaogopa eti.
Hahahaha yeah atakuwa hana amani
 
Hakua chaguo lako...subiri atakuja wa kufanana na wewe
 

Binti yako kaingiaje hapa, keshaiva?
 
We na familia yenu hamna akili kabisa inaonekana ni familia za hovyo kabisa Yan mnachukua Jambo zito Kama Hilo bila kufanya upelelezi matokeo yake ndio hayo
 
Uko wako siwakuowa....inaonekana mnagubu sana.pia wewe umeikosea sana hiyo familia na kamwee hawawezii kukusame kwa dharau uliowaonyesha.ni Bora ungewambia mapema.wasije
 
Yaani unafanya maamuzi kwa habari za kusikia juujuu tena toka kwa watu ambao tangu mwanzo walishaonesha kuwa hawakubaliani naww. Pole ila kama ningekuwa nimm hata kama ningekuwa nimekupenda nilikuwa nakupiga chini mazimaaa ushaonesha udhaifu mkubwa sanaa wakutokuwa na msimamo na udhaifu mkubwa wa kuhandle mambo kama mtu mzima kifupi hata sifa za kuwa mama na msimamizi namba 2 wa familia huna kwa ulichofanya unaonekana ni mtu wa kupelekwapelekwa na upepo tuuu badala ya kusimama ww kama ww kufanya maamuzi kwaajili yako
 
Mpuuzi huyu yaani anasikia jambo kwa awatu tuu nae anafata upepo na muhusika mkuu yupo na hata kumuuliza tu hamna anaahirisha shuguli nzito kama hii na watu wametoka Mbeya mpaka Ngara kweli????? Yaani unashindwa hata kumuuliza mchumba wako na uko nae unaomdoka na simu unamzimia kabisaaa wakat yy hata hajui kimekusibu nn????? Dada ni mpuuzi na mjinga sanaaa hafai kuolewa aendelee kulia na ndugu zake walomjaza upepo
 
Kwa nini haukumuuliza mchumba wako juu ya kile ulichosikia? Wanawake mtaacha lini kukurupuka katika kutoa maamuzi yako?

Ok. Jaribu kufunguka kuhusu hicho kitu ambacho mwenzako hapendi ili upate ushauri kamili.
 
[emoji26][emoji26][emoji26] Aisee mmefanya ujinga Sana

Mmeonekana Ni watu wa hovyo
 
Mhh huyo bimkubwa wako Yuko sawa kweli !?
 
[emoji26][emoji26][emoji26] Aisee mmefanya ujinga Sana

Mmeonekana Ni watu wa hovyo
Nashindwa kuelewa hiyo nguvu ya kutaka kuomba msamaha et ndoa ifungwe tena Inatoka wap ....Yan inashangaza mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…