Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

Sasa hizo fursa umeona Tanzania mbona husemi, ama mpaka tukufuate pm?
Mimi naweza kutaja fursa hapa lakini natakiwa kujua malengo ya mtu mwenyewe, nitamshauri fursa na project kubwa kubwa kumbe yeye interest yake siyo international entrepreneur au sio kuwa national level kuna wengine hawana mambo mengi wanataka kufanya biashara ili apate tu hela ya kula

Sasa mtu anayetaka afanye biashara ya kumudu familia yake, atafute location afungue bucha, mgahawa, biashara ya vipodozi, ufugaji wa kuku na nguruwe wa kisasa, ufungue saloon za kike na za kiume, biashara za viungo vya kwenye vyakula hasa akiwa maeneo ya dar mfano kuuza tangawizi, pilipili aina zote, karoti n.k, kuuza vyakula kama mihogo hasa kwa hapo Dar, kusambaza products toka kwenye makampuni mbalimbali, kufungua duka la simu mikoani yani nje ya Dar, kufanya biashara za mazao toka nje ya nchi kuja TZ au kutoa Tz kupeleka nje mfano soya, karanga, mahindi, n.k kufanya biashara ya mitumba mikoani hasa mikoa ambayo bado haijachangamka wewe ndio uwe mtu wa kuichangamsha, biashara ya vyombo hasa maeneo ya mijini, biashara za mitandaoni hasa kuuza vitabu kwenye platforms mbalimbali ikiwemo E-books n.k lakini pia kutoa huduma za free internet, kuanzisha kumbi za starehe na kumbi za kuonesha mipira n.k, kuuza vinywaji maeneo yenye high population na shughuli nyingi, nazingine nyingi
NB: trading is a risk 🥲 can lead to loss of your capital
 
Project kubwa kubwa?
Mimi naweza kutaja fursa hapa lakini natakiwa kujua malengo ya mtu mwenyewe, nitamshauri fursa na project kubwa kubwa kumbe yeye interest yake siyo international entrepreneur au sio kuwa national level kuna wengine hawana mambo mengi wanataka kufanya biashara ili apate tu hela ya kula

Sasa mtu anayetaka afanye biashara ya kumudu familia yake, atafute location afungue bucha, mgahawa, biashara ya vipodozi, ufugaji wa kuku na nguruwe wa kisasa, ufungue saloon za kike na za kiume, biashara za viungo vya kwenye vyakula hasa akiwa maeneo ya dar mfano kuuza tangawizi, pilipili aina zote, karoti n.k, kuuza vyakula kama mihogo hasa kwa hapo Dar, kusambaza products toka kwenye makampuni mbalimbali, kufungua duka la simu mikoani yani nje ya Dar, kufanya biashara za mazao toka nje ya nchi kuja TZ au kutoa Tz kupeleka nje mfano soya, karanga, mahindi, n.k kufanya biashara ya mitumba mikoani hasa mikoa ambayo bado haijachangamka wewe ndio uwe mtu wa kuichangamsha, biashara ya vyombo hasa maeneo ya mijini, biashara za mitandaoni hasa kuuza vitabu kwenye platforms mbalimbali ikiwemo E-books n.k lakini pia kutoa huduma za free internet, kuanzisha kumbi za starehe na kumbi za kuonesha mipira n.k, kuuza vinywaji maeneo yenye high population na shughuli nyingi, nazingine nyingi
NB: trading is a risk 🥲 can lead to loss of your capital
 
Mimi naweza kutaja fursa hapa lakini natakiwa kujua malengo ya mtu mwenyewe, nitamshauri fursa na project kubwa kubwa kumbe yeye interest yake siyo international entrepreneur au sio kuwa national level kuna wengine hawana mambo mengi wanataka kufanya biashara ili apate tu hela ya kula

Sasa mtu anayetaka afanye biashara ya kumudu familia yake, atafute location afungue bucha, mgahawa, biashara ya vipodozi, ufugaji wa kuku na nguruwe wa kisasa, ufungue saloon za kike na za kiume, biashara za viungo vya kwenye vyakula hasa akiwa maeneo ya dar mfano kuuza tangawizi, pilipili aina zote, karoti n.k, kuuza vyakula kama mihogo hasa kwa hapo Dar, kusambaza products toka kwenye makampuni mbalimbali, kufungua duka la simu mikoani yani nje ya Dar, kufanya biashara za mazao toka nje ya nchi kuja TZ au kutoa Tz kupeleka nje mfano soya, karanga, mahindi, n.k kufanya biashara ya mitumba mikoani hasa mikoa ambayo bado haijachangamka wewe ndio uwe mtu wa kuichangamsha, biashara ya vyombo hasa maeneo ya mijini, biashara za mitandaoni hasa kuuza vitabu kwenye platforms mbalimbali ikiwemo E-books n.k lakini pia kutoa huduma za free internet, kuanzisha kumbi za starehe na kumbi za kuonesha mipira n.k, kuuza vinywaji maeneo yenye high population na shughuli nyingi, nazingine nyingi
NB: trading is a risk 🥲 can lead to loss of your capital
shikamoo mkuu
 
Project kubwa kubwa?
Ndio namaanisha matarajio ya mtu ni yapi? Huwezi kumshauri afungue duka la simu huku kijijini ikiwa anataka kuwa mfanya biasha wa mataifa, yaani huwezi kumwambia mtu afungue library ikiwa ana mitazamo ya kushindana na MO au Bakhressa
 
Pitia Uzi wangu was "umuhimu wa elimu ya ujasiriamali, biashara na fedha kuongeza kipato na kumaliza usikini Tanzania" huu Uzi unamadini sana mana wafanyabiashara wengi huwa wanakurupuka kufanya biashara na mwishoni wanaangukia pua, kama ulivyofanya wewe kukodi fremu bila kuana motisha au usukumo ba biashara hiy
 
Pitia Uzi wangu was "umuhimu wa elimu ya ujasiriamali, biashara na fedha kuongeza kipato na kumaliza usikini Tanzania" huu Uzi unamadini sana mana wafanyabiashara wengi huwa wanakurupuka kufanya biashara na mwishoni wanaangukia pua, kama ulivyofanya wewe kukodi fremu bila kuana motisha au usukumo ba biashara hiy
Nimeutafuta mbona haupatikani nitumie Pm kama unao
 
Pitia Uzi wangu was "umuhimu wa elimu ya ujasiriamali, biashara na fedha kuongeza kipato na kumaliza usikini Tanzania" huu Uzi unamadini sana mana wafanyabiashara wengi huwa wanakurupuka kufanya biashara na mwishoni wanaangukia pua, kama ulivyofanya wewe kukodi fremu bila kuana motisha au usukumo ba biashara hiy
Mkuu unafanya biashara Gani hapa mjini tafadhali.
 
Mkuu unafanya biashara Gani hapa mjini tafadhali.
Nadeal na kudesign box aina zote na vifungashio kama mifuko ya lishe nk
Huu ni mfank wa box la zawadi
IMG_20240606_112753.jpg
 
Fungua application ya mkopo wa Kausha damu,utakuwa tajiri faster sana.
 
Huo ni ugonjwa wa watu wengi BONGO ndo mana hatuwez ku innovate new way ya kufanya biashara..
 
Back
Top Bottom