NAOMBA USHAURI: Siipendi na siifurahii kazi ninayolipwa vizuri

NAOMBA USHAURI: Siipendi na siifurahii kazi ninayolipwa vizuri

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habari zenu.

Iko hivi Kuna muda naweza nikawa naifanya kazi fulani ingawa nalipwa vizuri Ila Sina furaha kabisa pamoja kuwa nalipwa hela nzuri kulingana na mishahara ya hapa tz.

Sasa bwana Kuna kazi nikiwa nalipwa kidogo ama hata nisipolipwa nakuwa naenjoi kinyama mno yaani mno kuifanya.yaani napotatua iyo shida Mana kazi huwa Ni kutatua tatizo ninayokuwa nayo Ni kubwa mno.
Yaani smt my happiness isn't tied to money.

Naombeni ushauri both positive and negative Mana huwa Kuna hasi na chanya I know it. Am really prepared for negative ili ikitokea no more pains,let me /visualize or immunize my DNA or my mind so that no emotions when it comes for me.

Hili suala lanitokea mie pekee ama Ni kwa wote linawatokea.
 
Mkuu huku kwetu tunafanya kazi tupate pesa, hatufanyi tunachopenda
 
yep this is the real meaning of Mwafrika nafasi inapotokea ya kufanya mambo mazuri hawataki wanataka kubaki pabaya na ikitokea mtu wa kuwaongoza vizuri watampinga aidha kwa maandamano au kejeli ili tu asiwaongoze na kuwapeleka pazuri...mkuu upo sawa kabisa according to this
 
yep this is the real meaning of Mwafrika nafasi inapotokea ya kufanya mambo mazuri hawataki wanataka kubaki pabaya na ikitokea mtu wa kuwaongoza vizuri watampinga aidha kwa maandamano au kejeli ili tu asiwaongoze na kuwapeleka pazuri...mkuu upo sawa kabisa according to this
We si tajiri bana sisi watoto wa maskin tunaelewa ndo maana jamaa tunamwona mseng kama wasen wengine yan yeye anafurahia sehem ambayo analipwa kidg au halipwi kabisa atakua na pesa snaa au hana majukumu
 
Hii ilinitokea hata mimi, sio kua nilikua nalipwa vizuri na mwajiri la hasha, bali nilipendwa na wateja wakampuni aka wadau ambao walikua wananitoa sanaa, wengine utadhani wameniweka kwenye payroll zao mana ikifikamwisho wa mwezi wananiwekea mzigo wa maana,
ila kazi niliichukia sana ile mpaka nikaamua kuachana nayo,
Sasa hivi niko na kijikampuni kidogo, nalipwa kidogo lakini nafuraha.
 
Habari zenu.

Iko hivi Kuna muda naweza nikawa naifanya kazi fulani ingawa nalipwa vizuri Ila Sina furaha kabisa pamoja kuwa nalipwa hela nzuri kulingana na mishahara ya hapa tz.

Sasa bwana Kuna kazi nikiwa nalipwa kidogo ama hata nisipolipwa nakuwa naenjoi kinyama mno yaani mno kuifanya.yaani napotatua iyo shida Mana kazi huwa Ni kutatua tatizo ninayokuwa nayo Ni kubwa mno.
Yaani smt my happiness isn't tied to money.

Naombeni ushauri both positive and negative Mana huwa Kuna hasi na chanya I know it. Am really prepared for negative ili ikitokea no more pains,let me /visualize or immunize my DNA or my mind so that no emotions when it comes for me.

Hili suala lanitokea mie pekee ama Ni kwa wote linawatokea.
🚮🚮
 
Kuna watu wanapenda ualimu ingawa malipo kidogo...

Kuna kazi malipo mazuri lakini ni very stressful...unaandika projections za miaka 50 za kampuni sio mchezo...
Kama huna shida ya hela ..fanya unacho penda
 
Back
Top Bottom