God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Nauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujafanikiwa katikati ya wajinga maana yake huna akili hata kidogo.Nauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
Kenya panafaa, achana na hizi maiti zinatembeaNauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
Mwezini panafaaNauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
Njoo RwandaNauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
😂Kama hujafanikiwa katikati ya wajinga maana yake huna akili hata kidogo.
Kuna mtu anajua na anajua kuwa anajua huyo ni wa kufuatwa, halafu kuna mtu anajua lakini hajui kama anajua huyo anatakiwa kuzinduliwa, sasa kuna mtu hajui na hajui kama yeye hajui huyo mumuogope na mkae naye mbali.Nauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
😅😅😅 Nambie hauko serious!Nauliza , kuna nchi gani inatufaa sisi great thinkers kuishi na kufanikiwa?
Mtu mpumbavu tu ndiye hudhani anaakili nyingi. Kama huamini angalia hata shule. Wale miamba walioamini hawana cha kujifunza kutoka kwa wengine ila wao ndo wanapaswa kufundisha wengine mwisho wa siku walifeli.hivi unafanyaje kujijua kama una akili nyingi
😀
yaah ni kweli naliona hiliMtu mpumbavu tu ndiye hudhani anaakili nyingi. Kama huamini angalia hata shule. Wale miamba walioamini hawana cha kujifunza kutoka kwa wengine ila wao ndo wanapaswa kufundisha wengine mwisho wa siku walifeli.