Anotherperson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 601
- 672
Watu ni waongo hakika yani mTZ akisema kaongea fact ujue ni uchuro sio kitu anachokisimamia yeyeWatu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia - JamiiForums fungua huo Uzi angalia comment namba sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu ni waongo hakika yani mTZ akisema kaongea fact ujue ni uchuro sio kitu anachokisimamia yeyeWatu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia - JamiiForums fungua huo Uzi angalia comment namba sita
Vipi mkuu, bei kwa kilo inakuwa je kipindi hicho.Mkiweza kujitoa kweli mkalima hoho za kutoa mwez wa kumi nanmbili mwshoni,na mkajituma na kusimamia shamba vzr heka moja ikapata huduma zote january utanitafuta unipe mkono
Acha bangi wewe.Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..
pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha