Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

Mkiweza kujitoa kweli mkalima hoho za kutoa mwez wa kumi nanmbili mwshoni,na mkajituma na kusimamia shamba vzr heka moja ikapata huduma zote january utanitafuta unipe mkono
Vipi mkuu, bei kwa kilo inakuwa je kipindi hicho.

Ndio kwanza naanza kutawanya hoho shambani. Nategemea kuanza mavuno December kati.

Ndio mara yangu ya kwanza kulima hili zao.
Pichani hoho zikiwa kitaluni
 

Attachments

  • 20181010_143254.jpg
    20181010_143254.jpg
    212.4 KB · Views: 83
Ach
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha
Acha bangi wewe.
 
Back
Top Bottom