Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

Mkiweza kujitoa kweli mkalima hoho za kutoa mwez wa kumi nanmbili mwshoni,na mkajituma na kusimamia shamba vzr heka moja ikapata huduma zote january utanitafuta unipe mkono
Vipi mkuu, bei kwa kilo inakuwa je kipindi hicho.

Ndio kwanza naanza kutawanya hoho shambani. Nategemea kuanza mavuno December kati.

Ndio mara yangu ya kwanza kulima hili zao.
Pichani hoho zikiwa kitaluni
 

Attachments

  • 20181010_143254.jpg
    212.4 KB · Views: 83
Ach Acha bangi wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…